Nimethibitisha kuwa kweli watu humu wanakurupuka tu bila kuwa na uhakika na wanayoyasema. Sitaki kukutajia wanawake wote waliochangia, kwa taarifa yako ni kwamba mtu wa kwanza kuchangia muswada mara baada ya kuanza majadiliano alikuwa mwanamke Anna Kilango Malecela. Inawezekana unaangalia Bunge kwa masaburi wewe.