Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,144
Wajumbe wa kamati ya maendeeleo ya jamii wamempongeza mwenyekiti wa kampuni ya bonite ya mjini moshi kwa kujali mazingira ya wanancnhi na wafanyakazi wake.....akiongea na wafanyakazi mjumbe wa kamati hiyo mbunge anaewakilisha walemavu albino alifurahi sana kwa jinsi mh mengi alivyojiandaa kuwasaidia hata kwa wale wenye matatizo ya albino kwa kuwatafurtia sehemu maalum ya kazi ambayo haitakuwa ikiwasumbua na jua........wamempongeza mwenyekiti wa kwanza bottlers na kuwapongeza wafanyakzi wote wanaoshiriki kikamilifu katika kutunza mazingira ya moshi....
Mmoja wa wajumbe namnukuu sijaona hata nzi moja walahi...hakuna hata nzie alienipitia kwenye mkono...kwa hilo nawapongeza sana
Mmoja wa wajumbe namnukuu sijaona hata nzi moja walahi...hakuna hata nzie alienipitia kwenye mkono...kwa hilo nawapongeza sana