MTI PESA
Member
- Nov 19, 2011
- 39
- 8
wabunge wa upinzani na wale wa chama tawala nchini Ukraine wamechapa makonde "live" ndani ya mjengo wa bunge ktk kile kilichodaiwa ni kupinga muswada uliowasilishwa bungeni hapo kuhusu kutumika kwa lugha ya kirusi kama lugha rasmi ndani ya Ukraine ambapo wabunge wa upinzani walionyesha kuupinga vikali muswada huo hadi kufikia kuchapana makonde mazito yaliyopelekea mbunge mmoja wapo kujeruhiwa vibaya kwa kipigo hicho...sijui itakuaje ikitokea hapa bongo dah!..
Source TBC1 Habari
Source TBC1 Habari