nkongu ndasu
JF-Expert Member
- Jan 19, 2013
- 22,532
- 6,628
Kwa kauli ya ukakasi aliyotoa zitto kwamba mbunge yeyote wa kigoma asipoingia act hawezi rudi bungeni ni ya kuchekesha sana! Wana kigoma kama wanajitambua kauli hii inaweza pelekea hata zitto mwenyewe kuukosa ubunge huko kigoma. Ngoja tusubir tuone.