Wabunge wa UKAWA hamieni ACT-Tanzania

Wabunge wa UKAWA hamieni ACT-Tanzania

East African Eagle

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2013
Posts
3,759
Reaction score
2,209
Vyama vinavyounda UKAWA havina sura ya kitaifa.Mfano vyama vikubwa kama CUF na CHADEMA vina sura ya kikanda,kikabila na kidini zaidi.Mfano CUF ina nguvu zanzibar na kinaonekana mbele ya macho ya wengi zaidi kama chama cha wapemba na waislamu wenye msimamo mkali.Tanzania bara hakina nguvu.

CHADEMA pia ni chama kinachoonekana mbele za watu kama chama cha watu wa kilimanjanjaro na wakristo na kina nguvu bara wakati kule zanzibnbar hakina nguvu.

Niliwahi zungumza na Kingunge ngombare Mwiru kuwa ni kwa nini upinzani hauchukui utawala kama kenya,zambia,malawi n.k Akajibu kuwa vyama vya upinzani Tanzania ni vyama vya majimbo kingine kiko jimbo la Tanzania Kingine jimbo la Zanzibar.Akasema kutawala nchi unahitaji chama cha kitaifa siyo cha majimbo kama CUF na CHADEMA.

Chama cha ACT kinaonyesha kuwa kina sura ya kitaifa na kinaweza kuwa chama cha upinzani chenye nguvu kote Tanzania bara na Zanzibar hivyo Wabunge wa UKAWA hamieni huko .Pia CHADEMA na CUF vimejionyesha kuwa vyama vya kidikiteta kwa kuwaburuza wabunge kwa lazima wasiamue kwa utashi wao kuhudhuria au kutohudhuria bunge la katiba hivyo kuvifanya vyama hivyo viwe vya kidikiteta ambavyo ni tishio kwa hao wabunge na ustawi wao wa kisiasa tofauti na chama Cha ACT.

Ni ushauri wangu.Kama hamtaki si neno
 
Alliance for CCM and Traitors really you must be crazy.
 
chama cha kigoma, ndio maana kinajulikana kigoma tu, huo utaifa wa wapi? fikiria kabla ya kuongea, yani una uchambuzi hafifu kama mtoto wa nursery pale bahi road dodoma.
 
ACT kinaonekana ni chama cha watanzania lakini ni chama cha wasaliti,ATC kinaonekana ni chama cha upinzani lakini ni kifaranga cha CCM,ATC kinaonekana kuwa ni chama cha watu wote lakini ni chama cha Kigoma leka tudigite.
 
Vyama vinavyounda UKAWA havina sura ya kitaifa.Mfano vyama vikubwa kama CUF na CHADEMA vina sura ya kikanda,kikabila na kidini zaidi.Mfano CUF ina nguvu zanzibar na kinaonekana mbele ya macho ya wengi zaidi kama chama cha wapemba na waislamu wenye msimamo mkali.Tanzania bara hakina nguvu.

CHADEMA pia ni chama kinachoonekana mbele za watu kama chama cha watu wa kilimanjanjaro na wakristo na kina nguvu bara wakati kule zanzibnbar hakina nguvu.

Niliwahi zungumza na Kingunge ngombare Mwiru kuwa ni kwa nini upinzani hauchukui utawala kama kenya,zambia,malawi n.k Akajibu kuwa vyama vya upinzani Tanzania ni vyama vya majimbo kingine kiko jimbo la Tanzania Kingine jimbo la Zanzibar.Akasema kutawala nchi unahitaji chama cha kitaifa siyo cha majimbo kama CUF na CHADEMA.

Chama cha ACT kinaonyesha kuwa kina sura ya kitaifa na kinaweza kuwa chama cha upinzani chenye nguvu kote Tanzania bara na Zanzibar hivyo Wabunge wa UKAWA hamieni huko .Pia CHADEMA na CUF vimejionyesha kuwa vyama vya kidikiteta kwa kuwaburuza wabunge kwa lazima wasiamue kwa utashi wao kuhudhuria au kutohudhuria bunge la katiba hivyo kuvifanya vyama hivyo viwe vya kidikiteta ambavyo ni tishio kwa hao wabunge na ustawi wao wa kisiasa tofauti na chama Cha ACT.

Ni ushauri wangu.Kama hamtaki si neno
Taja kiongozi au mwanachama mmoja wa Act ambaye ama anatoka Zanzibar, Pwani, Lindi, Mtwara , Dodoma , Singida, Morogoro, ruvuma, Iringa , Njombe, .........
 
Chama cha ACT kinaonyesha kuwa kina sura ya kitaifa na kinaweza kuwa chama cha upinzani chenye nguvu kote Tanzania bara na Zanzibar hivyo Wabunge wa UKAWA hamieni huko .Pia CHADEMA na CUF vimejionyesha kuwa vyama vya kidikiteta kwa kuwaburuza wabunge kwa lazima wasiamue kwa utashi wao kuhudhuria au kutohudhuria bunge la katiba hivyo kuvifanya vyama hivyo viwe vya kidikiteta ambavyo ni tishio kwa hao wabunge na ustawi wao wa kisiasa tofauti na chama Cha ACT.

Ni ushauri wangu.Kama hamtaki si neno


Chama cha WAHA!
 
Wewe nawe huna tofauti na vilaza wenzako akina Lizaboni, Chabruma, Ruttashoborwa, Aminangalo, Mwa4 Simiyu Yetu & the likes. Msubirini msaliti mwenzenu zzk mwezi huu anakuja rasmi kuendesha chama chake chini ya uratibu wa ccm.
 
Vp ile doz ya a r v................imeisha?.....r.i.p
 
Wanaitwa chama cha wasaliti na wasaka madaraka - Tanzania chama gani eti katibu mkuu ni Mwigamba kweli huyu jamaa! kweli madaraka matamu sana bure kabisa.
 
vyama vinavyounda ukawa havina sura ya kitaifa.mfano vyama vikubwa kama cuf na chadema vina sura ya kikanda,kikabila na kidini zaidi.mfano cuf ina nguvu zanzibar na kinaonekana mbele ya macho ya wengi zaidi kama chama cha wapemba na waislamu wenye msimamo mkali.tanzania bara hakina nguvu.

Chadema pia ni chama kinachoonekana mbele za watu kama chama cha watu wa kilimanjanjaro na wakristo na kina nguvu bara wakati kule zanzibnbar hakina nguvu.

Niliwahi zungumza na kingunge ngombare mwiru kuwa ni kwa nini upinzani hauchukui utawala kama kenya,zambia,malawi n.k akajibu kuwa vyama vya upinzani tanzania ni vyama vya majimbo kingine kiko jimbo la tanzania kingine jimbo la zanzibar.akasema kutawala nchi unahitaji chama cha kitaifa siyo cha majimbo kama cuf na chadema.

Chama cha act kinaonyesha kuwa kina sura ya kitaifa na kinaweza kuwa chama cha upinzani chenye nguvu kote tanzania bara na zanzibar hivyo wabunge wa ukawa hamieni huko .pia chadema na cuf vimejionyesha kuwa vyama vya kidikiteta kwa kuwaburuza wabunge kwa lazima wasiamue kwa utashi wao kuhudhuria au kutohudhuria bunge la katiba hivyo kuvifanya vyama hivyo viwe vya kidikiteta ambavyo ni tishio kwa hao wabunge na ustawi wao wa kisiasa tofauti na chama cha act.

Ni ushauri wangu.kama hamtaki si neno
kawashauri mambrula wenzio huko rumumba.
 
ACT chama cha waha.Kimeanzoshwa na CCM maharamia.
 
Hili neno USALITI kwa kweli linatumika ndivyo sivyo. Bravo ACT-TANZANIA. Sioni mantiki ya kuwashambulia wanaosapoti chama hiki. Cdm mliwafukuza wakatoka, waacheni wafanye polhtics kwa njia wanazoona zinafaa. Ghilba ni za ccm, hata cuf wana clean politics than cdm? Why?
 
DAH ha ha ha ha ha nikirudi toka lunch nita comment ila ccm ndio wangejiunga ACT maana ni ndugu wa kufa na kuzikana
 
Wewe nawe huna tofauti na vilaza wenzako akina Lizaboni, Chabruma, Ruttashoborwa, Aminangalo, Mwa4 Simiyu Yetu & the likes. Msubirini msaliti mwenzenu zzk mwezi huu anakuja rasmi kuendesha chama chake chini ya uratibu wa ccm.


mkuu hao unaowataja sio waliokunywa togwa yenye sumu songea? ha ha ha ha ha:A S wink:
 
chama ambacho hakina mbunge hata mmoja na hakitegemei kupata mbunge hata mmoja 2015, mbali na mbunge akina hata diwani,mbali na diwani hakina hata balosi wa nyumba kumi kumi,mbali hata na nyumba kumi kumi hakina hata ofisi
 
taja kiongozi au mwanachama mmoja wa act ambaye ama anatoka zanzibar, pwani, lindi, mtwara , dodoma , singida, morogoro, ruvuma, iringa , njombe, .........
ahsante kwa kuonyesha kuwa unatambua kuwa huko kote kipo.
 
Kwa hoja hizo wewe si tu ni mbumbumbu bali pia ni hawayani wa siasa za maendeleo na uchumi
 
Back
Top Bottom