singidadodoma
JF-Expert Member
- Nov 11, 2013
- 4,394
- 1,531
Ni kwa sababu ya kasumba uliyonayo. Unataka kila ukikamata gazeti liwe limemwandika babu yako. Endelea kukosa lakini wengine tunasoma.Kuna time nakosa hamu ya kusoma magazeti ya nyumban
Alafu hii tabia ilioibuka siku hizi jf inaboa sn. Utakuta mtu anapiga picha gazeti kwa nnje anatupia eti ndo tayari nae kaanzisha uzi dah!
Yeh unafahamu Wamemuombea kitu gani?Hawa ndio aina ya wabunge Kutoka marekani ambao Tanzania inawataka sio wale wanaokuja kuja kushinikiza mambo ya USHOGA NA USAGAJI.
Tunashukuru kwa maombi waliyoomba na watakayoendelea kumwombea Magufuli na kuiombea Tanzania.Na waendelee tu kuja kuomba na watuombee pia wakiwa Marekani.
Kwani mkuu habari hii unaiamini kweli? Kwangu me ni za kufanyia mauzo ya magazeti yao kwa siku ya leoMarekani hana rafiki wa kudumu
Haya sasa hii mpyaa marekani Leo inamuombe magu duh sio bure kuna kitu apo