Mulangila Mukuru
JF-Expert Member
- Feb 24, 2010
- 1,945
- 724
Kwa makusudi au kwa kutojua wabunge wa CUF toka zanzibar wamekuwa wakitumika kukidhoofisha chama cha CUF upande wa Tanganyika kwa kauli na misimamo yao ya kuidama CDM na kuikumbatia CCM.
Wakati wabunge wa vyama vyenye upinzani wa kweli Bara wakiungana kuikosoa CCM wabunge wa CUF wao wamekalia kuiponda CDM kitu ambacho kimechangia wapenda mabadiliko wengi kuiona CUF bara kama c chama cha upinzani wa kweli.
Hivi hawa viongozi wa CUF bara hawalioni hili au wanasubiri chama kiwafie mikononi​?
Wakati wabunge wa vyama vyenye upinzani wa kweli Bara wakiungana kuikosoa CCM wabunge wa CUF wao wamekalia kuiponda CDM kitu ambacho kimechangia wapenda mabadiliko wengi kuiona CUF bara kama c chama cha upinzani wa kweli.
Hivi hawa viongozi wa CUF bara hawalioni hili au wanasubiri chama kiwafie mikononi​?