Wabunge wa CHADEMA wamkaribisha Lowassa

Wabunge wa CHADEMA wamkaribisha Lowassa

Sikiliza dogo, Huku CDM nilidhani fisadi hata akiwa wapi lazima asakamwe!!!!
sasa hili la kumkaribisha ni geni kwangu, hivi kesha tutasimama jukwaani kukemea ufisadi wakati tunaukaribisha? Mungu inusuru CDM!
Mkuu,
Kwa nini unashangaa sana? Kwani wewe ni mgeni katika siasa za Tanzania?

Kwenye siasa za Tanzania, kila kitu kinawezekana!
 
Hama sasa hivi hata mizigo km wewe ipo CDM. Chadema hatuna dawa ya njaa wahi ccm chap.
 
HABARINI ZA JIONI

MAKAMANDA NAOMBA UFAFANUZI KUHUSU HILI

1. inakuwaje lowasa akiwa nje ya chadema anakuwa fisadi ..ila akiwa ndani ya chadema anakuwa msafi..nasema ivi kutokana na chadema kujiandaa kumpokea lowasa ushahidi ninao na picha ninazo..kuwa soon lowasa anaenda chadema..kama niivyo hata magufuli aki amia chadema nahizi kashfa mnazo mpa atakuwa msafi tena

2.ina kuwaje kwenye pesa ambazo na watu wa chadema zina wahusu huwa hawa ongei chochote..inamaana nanyi pia mna jali maslahi yenu..nasema hivi nikiwa na maanisha pesa za kampeni zilitolewa nyingi sana zaidi ya milion 200 kwa kila mbunge lakini hakuna hata moja alie lalamika kuwa serikali ina ingia hasara na wananchi wana umia..posho za bunge nikubwa sana but hakuna wabunge wanao fight with..

Niliwaza kuconlude kuwa chadema huwa wanakuwa wapole sehemu ambayo na wenyew wana husika...

NAOMBA NIELEWEKE KUWA SIKO UPANDE WA CHAMA CHOCHOTE ILA NAOMBA MAJIBU TOKA KWENU MAKAMANDA..
TUNAMTAKA ILI ATUPE SIRI ZENU NA MAFISADI PAPA. UNAFIKILI CDM wajinga. SIO RAHISI KUINGIA CDM vile vile ka fisadi. sasa tunamkaribisha.
 
Nakuunga mkono zaid ya 100%,lowasa kuingia CDM nikukiua chama kwa haraka na uhakika mkubwa,mtu ambaye mlisema ni fisadi na ccm wakawasaidia zaid kusema ni kwel ni fisadi,leo kusema mumkaribishe nikujiua kwa uhakika mkubwa sana,
Hakuna taasisi yoyote ambayo imewahi kumsafisha na wala yeye mwenyewe hajawahi sema ni nani alihusika kama siyo yeye zaidi yakusema anauchukia umaskini(ambayo ni porojo)...
Leo bashe amemnyanyua mkono magufuli,ambapo bashe alikuwa ni mtu muhimu katika team ya lowasa,ila leo kamtosa,wale madiwan wa monduli ni kizungumkuti,leo wanasema wapo CDM kesho wamechukua form zakugombea udiwani ccm,kwa hiyo utaona kuwa lowasa hana wafuasi wala watu ambao utasema ni wapo nae popote pale,zaid ya wao kuangalia fursa(na lowasa wakat ule alitumia fedha sana)na hata hawa wanaoshadadia ahamie CDM ni kuwa bado anawapa fedha.
Kitendo cha lowasa kujiunga CDM iwe awe mwanachama wa kawaida au vyovyote ujue CDM itapoteza wanachama wengi ambao ni wafia chama na hata ule uaminifu katika macho ya watu utakuwa umekufa na hiko ndio kifo chake...
Ccm imevua gamba CDM inajifanya inajua kuaminisha watu nyeusi ni nyeupe,katika kosa kubwa lakiufundi watalofanya CDM nikumpokea lowasa,huku kwenye mitandao watu wanapiga kelele kuwa anafaa ila huko field hali ni tofauti...ujumbe huu uwafikie,wasiposikia wataona kwa vitendo...CDM inajitosheleza haihitaji mtu wa namna yake
Mkuu,
Wakati mwingine inabidi ujiandae kwa lile ambalo hulioni kwa macho na katika fikra.

Kwenye siasa za Tanzania lolote linaweza kutokea!
 
Back
Top Bottom