Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,883
- 2,763
- Thread starter
- #21
Haya Mnyika alishayasema, kuwa wabunge wa ccm kwa upuuzi wao wataipitisha tu hii bajeti. Ila watakapopatikana kina Mpina na Filikunjombe 20 ndani ya ccm basi kazi watakuwa nayo hao waliobakia