Unstoppable
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 1,046
- 384
Ila maybe makosa sio ya Mawaziri wakuu bali ni commander in chief..
Yaani Katika kipindi cha President mmoja tunataka kuondoa Prime Minister wawili ?, lazima boss wao ndio ana matatizo..
Once is a Coincidence, Twice is a Trend.., and the Boss should go...
True. Lakini bunge halina uwezo kikatiba wa-kumuondoa Raisi.