Wameshabwabwaja kwamba wao wako upande wa Serikali kwa hiyo hawaoni umuhimu wa kuhudhuria vikao vya bunge ila hawakosi kutia saini zao katika kitabu cha mahudhurio kupokea mgao wao wa posho....ni bora liende tu madudu kibao yanapitishwa bungeni, Wabunge wa magamba wako mtaani wanajirusha kwa raha zao.
Na hata wakiwa ndani magamba kazi zao hizi:
(1)wanalala na chafua ardhi kwa udenda.
(2)wana gonga gonga meza na kuziharibu na mikelele utadhani watoto wa chekechea wameruhusiwa kurudi nyumbani.
(3)hujamba na kuchafua hali ya hewa kwa harufu za mavi hasa maji marefu na sokwe.
(4)uzomea uzomea tu,,,utadhani mazuzu.....
(5)kuunga mkono upumbavu wa dhaifu.
Mengine malizia naona hasira tu, zanipanda nisije kupigwa ban bure..............................................................!
Dr Slaa angeanza na wabunge wa CDM ambao wote leo wanahudhuria mkutano ambao yeye ni mjumbe. Kwa nini wanakutana Dar wakati vikao vya bunge vinaendelea? Na wakati muhimu wa vikao vya kamati wao walikuwa busy na mikutano mikoani.
Wabunge wa CCM ni watoro kwa sababu wengi wao fedha ndiyo zilizowapa ubunge.Hili ni fundisho kwa wananchi kuwa unapomchagua mbunge kwa kupokea vijisenti na vyakula haya ndiyo mavuno.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.