Wabunge wa CCM na MAIGIZO!!

Wabunge wa CCM na MAIGIZO!!

MoPlan

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2011
Posts
907
Reaction score
661
Mods naomba msiunganishe wala kufuta huu Uzi ila kwa waliokaribu na TV waangalie maigizo haya ya ki------- kwa wabunge hawa kusimama na kuunga hoja kwa Wizara na kurusha maneno ya hovyo kwa upinzani halafu tena hapo hapo wanalalamika umeme hamna majimboni na vijiji vinarukwa na kulia!!

Haya ni maigizo ya ki-------!!!
 
They are mind zimesetiwa kwa bang mbich coz we una chakula unamsifia anaekula chakula wakat we una njaa upuuzi mtupu
 
Huyu mwigulu anaunga mkon hoja lakin kwake kumbe pia kuna giza
maigizo haya
 
husiumize kichwa kumtambua kichaa we angalia matendo yake, ccm kwisha kabisa, na wana akili zisizokubali mabadiliko.
 
Back
Top Bottom