makwimoge
JF-Expert Member
- Apr 14, 2011
- 298
- 42
Niko mbele ya Luninga, namsikia Ndugu Tundulisu akichangia juu ya misamaha ya kodi kwa wawekezaji,nikamuelewa vizuri sana juu ya hoja zake.Akasimama mbunge wangu Ndugu H.A Kigwangala(Said Bagaire) akaanza kuwatetea wawakezaji na kuunga mkono hoja kwamba wawekezaji eti wanaleta ujuzi.
Ikumbukwe kuwa huyu mbunge alikuja na sera ya kuandamana(AMKA NZEGA) kwenda mgodini kwa ajili ya mgodi kufungwa kwa vile hauna faida kwa wazawa wa Nzeaga.
1.Kweli ni yule aliyetuambia atakuja kwa ajili ya kuandamana ndiye anayeogea hayo,
2.Kwa kutuacha hewani wana Nzega ni kwamba ametudharau kwa kutudanganya?
3.Je mkutano wake wa mwezi wa 4 jimboni Nzega alikuwa anatupotezea muda wetu?
Ikumbukwe kuwa huyu mbunge alikuja na sera ya kuandamana(AMKA NZEGA) kwenda mgodini kwa ajili ya mgodi kufungwa kwa vile hauna faida kwa wazawa wa Nzeaga.
1.Kweli ni yule aliyetuambia atakuja kwa ajili ya kuandamana ndiye anayeogea hayo,
2.Kwa kutuacha hewani wana Nzega ni kwamba ametudharau kwa kutudanganya?
3.Je mkutano wake wa mwezi wa 4 jimboni Nzega alikuwa anatupotezea muda wetu?