juvenile davis
JF-Expert Member
- Apr 13, 2015
- 4,752
- 4,475
Majibu ya humu hadi rahaWewe una ahadi na Mungu kuwa utaishi mpaka ufike uzee (60 mpaka 70)?
Je umefukuzwa kazi ukiwa na miaka 35, je hiyo 30% watakayokupa inatosha mahitaji ya Familia?
Kwa Nini serikali isije na mswada wa kukopesha mwananchi angalau nusu ya akiba yake ili ajiandae (kujenga nyumba au kujiajiri)
Lengo la Serikali hapa ni kubaki na fedha za wananchi ili wakwepe kulipa deni

