Ndio maana mzungu ilikua rahisi kututawala. Sasa hawa wenzetu wanafuata nyayo zao baada ya kujua udhaifu wa walio wengi miongoni mwetu. Wacha waendelee kutukandamiza.Umeongea point kabisa mkuu. I am sickened with what is going on kwenye jamii yetu. We are the idiot moron. Yaani hatujitambui kabisa. Yaani jamii yetu ni sawa na jamii ya wendawazimu tu.
