Nawashauri wabunge wa CCM kuwa macho na miswada ya Serikali
Wabunge wa CCM ndo wengi bungeni na nguvu ya kupitisha miswada ya serikali au kukataa wanayo.
Miaka 5 sio mingi, wananchi wanawatazama....Labda ukute kuna njia nyingine za kupata kura..
Wananchi (wafanyakazi, wakulima na wafanyabiashara) wanaaangalia michango ya wabunge wa CCM.
Miswada ambayo imepita na ina madhara...
A - VAT bandarini
B - VAT tourism
C - Mafuta taa kupandishwa bei (Wakulima hapa wanaumia)
D - Hakuna kuuza mazao nje (wakulima)
Wabunge wa CCM ndo wengi bungeni na nguvu ya kupitisha miswada ya serikali au kukataa wanayo.
Miaka 5 sio mingi, wananchi wanawatazama....Labda ukute kuna njia nyingine za kupata kura..
Wananchi (wafanyakazi, wakulima na wafanyabiashara) wanaaangalia michango ya wabunge wa CCM.
Miswada ambayo imepita na ina madhara...
A - VAT bandarini
B - VAT tourism
C - Mafuta taa kupandishwa bei (Wakulima hapa wanaumia)
D - Hakuna kuuza mazao nje (wakulima)