Wabunge wa CCM badala ya kusikitika wao wanacheka tu

Mmawia

JF-Expert Member
Aug 20, 2013
121,947
95,237
Mbunge wa CCM ameibua ufisadi na wizi unaofanyika nchini pale bungeni.

Ni muendelezo wa ufisadi chini ya utawala wa CCM.

Badala ya wabunge wenzake wa CCM kukemea huo wizi wao wakaishia kucheka na kupiga makofi.

Hili bunge letu kama tunataka bunge bora basi 2025 Watazania tufanye maamuzi magumu.

 
Hii nooooma wahuni wanapiga hela sio kawaida alafu hata hawaulizwi pesa zinaingia wahuni wanapiga pesa zinaingia wahuni wanazipiga Tamesemi wapo tu, 10% zetu tunalipa kodi wahuni wanazila tu tena bila uoga bila hata kuzifanyia kazi za maana inauma saana naweza nikamtukana mtu hapa
 
Mbunge wa CCM ameibua ufisadi na wizi unaofanyika nchini pale bungeni.

Ni muendelezo wa ufisadi chini ya utawala wa CCM.

Badala ya wabunge wenzake wa CCM kukemea huo wizi wao wakaishia kucheka na kupiga makofi.

Hili bunge letu kama tunataka bunge bora basi 2025 Watazania tufanye maamuzi magumu.

View attachment 2405610
Wizi wa Nchi hii ni syndicate Wala sio wa individuals.
 
Mbunge wa CCM ameibua ufisadi na wizi unaofanyika nchini pale bungeni.

Ni muendelezo wa ufisadi chini ya utawala wa CCM.

Badala ya wabunge wenzake wa CCM kukemea huo wizi wao wakaishia kucheka na kupiga makofi.

Hili bunge letu kama tunataka bunge bora basi 2025 Watazania tufanye maamuzi magumu.

View attachment 2405610
hilo ni bunge au kikao cha mapoyoyo ya ccm majiz ya kura.
 
Hii nooooma wahuni wanapiga hela sio kawaida alafu hata hawaulizwi pesa zinaingia wahuni wanapiga pesa zinaingia wahuni wanazipiga Tamesemi wapo tu, 10% zetu tunalipa kodi wahuni wanazila tu tena bila uoga bila hata kuzifanyia kazi za maana inauma saana naweza nikamtukana mtu hapa
Walisha ruhusiwa kula kulingana na urefu wa kamba zao.
 
Mbunge wa CCM ameibua ufisadi na wizi unaofanyika nchini pale bungeni.

Ni muendelezo wa ufisadi chini ya utawala wa CCM.

Badala ya wabunge wenzake wa CCM kukemea huo wizi wao wakaishia kucheka na kupiga makofi.

Hili bunge letu kama tunataka bunge bora basi 2025 Watazania tufanye maamuzi magumu.

View attachment 2405610
UFISADI wa NCHI HII unaofanywa na Wanachama na Wafuasi wa CCM
 
Back
Top Bottom