Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Mbunge wa CCM ameibua ufisadi na wizi unaofanyika nchini pale bungeni.
Ni muendelezo wa ufisadi chini ya utawala wa CCM.
Badala ya wabunge wenzake wa CCM kukemea huo wizi wao wakaishia kucheka na kupiga makofi.
Hili bunge letu kama tunataka bunge bora basi 2025 Watazania tufanye maamuzi magumu.
Ni muendelezo wa ufisadi chini ya utawala wa CCM.
Badala ya wabunge wenzake wa CCM kukemea huo wizi wao wakaishia kucheka na kupiga makofi.
Hili bunge letu kama tunataka bunge bora basi 2025 Watazania tufanye maamuzi magumu.