mwanatanu
JF-Expert Member
- Jan 22, 2008
- 851
- 127
Leo hebu tujikumbushe, kwa wale ambao mlikuwepo enzi hizo za wabunge wakiitwa ndugu.
Hawa wabunge walikuwa wakivaa zile shati za Chuo en Lai ama Kaunda suit.
Wabunge hawa muda mwingi walikuwa majimboni, mara tunakutana nao kwenye vilabu vya kunywa ulazi na mara tunakutana nao bar wakiteremsha bia kusafisha koo baada ya kunywa koomoni.
Wabunge hawa walikuwa wakipanda basi zile za relwe wakitumia warrant kutoka serikalini na wakifika Dar hawa Wabunge walikuwa wakipatikana saa za jioni mitaani uswazini. Kwa kifupi walikuwa ni watu wa watu wanaojua maisha ya kila siku ya sisi watu wa kawaida.
Sasa tumevamiwa na hawa wasanii wanojiita wabunge,ambao lazima uwaite mheshimiwa. Maisha yao ya ubunge hawajui hata bei ya kilo ya maharage.
Hawa wasanii chakula,mavazi yao wanaletewa tu nyumbani.
Wengi wao hawako jimboni wako Dar huwaoni uswazi wala vilabuni wao wako Kempinski wakifanya madeal na wasanii wenzao waitwao wawekezaji.......
..........inaendelea
Hawa wabunge walikuwa wakivaa zile shati za Chuo en Lai ama Kaunda suit.
Wabunge hawa muda mwingi walikuwa majimboni, mara tunakutana nao kwenye vilabu vya kunywa ulazi na mara tunakutana nao bar wakiteremsha bia kusafisha koo baada ya kunywa koomoni.
Wabunge hawa walikuwa wakipanda basi zile za relwe wakitumia warrant kutoka serikalini na wakifika Dar hawa Wabunge walikuwa wakipatikana saa za jioni mitaani uswazini. Kwa kifupi walikuwa ni watu wa watu wanaojua maisha ya kila siku ya sisi watu wa kawaida.
Sasa tumevamiwa na hawa wasanii wanojiita wabunge,ambao lazima uwaite mheshimiwa. Maisha yao ya ubunge hawajui hata bei ya kilo ya maharage.
Hawa wasanii chakula,mavazi yao wanaletewa tu nyumbani.
Wengi wao hawako jimboni wako Dar huwaoni uswazi wala vilabuni wao wako Kempinski wakifanya madeal na wasanii wenzao waitwao wawekezaji.......
..........inaendelea