Wabunge Viti Maalumu ruksa udiwani

Wabunge Viti Maalumu ruksa udiwani

We nae ni kama jipu hujielewi! Inawezekanaje Mimi mbunge wa Kisarawe nishiriki kumchagua mwenyekiti wa halmashauri ya Kisarawe ilikotokea nafasi yangu ya ubunge viti maalum, halafu kwakua naishi Ilala tena nimchague Meya wa Manispaa? Mbone haya miaka yote hayakuwepo? Huu ni upumbavu kila mtu anoshindwa anaibua ujinga.
 
Mkuu,
Mimi ndio maana huwa napenda kuwashauri Watanzania wenzangu kuwa na tabia ya kupenda kujisomea. Kwa sababu vitu vingi viko kisheria na vinalindwa na Katiba ya nchi. Point uliyoongea ndio ukweli mchungu hapo ulipo.
Wakati wengine wanahangaika na propaganda za kuzungusha mikono, huku wengine wanachimbua fursa kwenye Katiba na kutekeleza wajibu wao. Ila ukiwaeleza hawa ndugu ukweli utaambulia matusi na kejeli. Let's wait and see on this. Kwa sababu sioni CCM kuiachia CHADEMA katika mwamvuli wa UKAWA kutoa Meya wa Jiji la Dar es Salaam. Time Will Tell.
Sheria zipi ?? hivi nikulize maswala ya serekali za mitaa ni mambo ya muungano ?? k
 
Ifike wakati CCM wawe na soni! Kulazimisha mambo ambayo wao wanaita bao la mkono wananchi tunawaona! Ugumu wa uchaguzi walioupata mwaka 2015 wasizidi kuujenga kwa uchaguzi ujao.Leo wamelazimisha Ilala na Kinondoni imeshindikana! Kama vile haitoshi sasa wamehamia uchaguzi wa Umeya wa Jiji la Dsm.Hilo jiji wamekuwa nalo miaka dahali mpaka wamelifikisha hapo lilipo.Kama Uma unataka wapumzike kwanini kunakuwa na mbinu chafu za waziwazi? Haiingii akilini leo wanakwenda kuchukua wapiga kura Znz ili bao la mkono lipatikane! Tunafahamu wasiwasi wao nipale UKAWA watakapo faulu kuliendesha jiji kwa ufanisi,wananchi watajua udhaifu wa CCM,na huo utakuwa mfano dhahili wa mafanikio ya UKAWA ambayo yatatumika kama mfano kwa majiji mengine.Mimi naomba uchaguzi uwe wa haki,
atakaeshinda apewe haki yake.Ikitokea CCM
WaWameshindwa,utakuwa wasaa mzuri kwao kujifunza walikuwa wanakosea wapi na wapi walikuwa sawa.Huku wakijipanga kwa uchaguzi ujao.Hivi vitendo tunavyo visikia nikama vile waliingia mkataba na Mungu kuwa hakuna watu wengine wanaoweza kuongoza zaidi yao!
CCM ni maharamia wakubwa! Kwanini hawakutumia utaratibu huu miaka yote iliyopita? Upuuzi mtupu huu.
 
Sheria zipi ?? hivi nikulize maswala ya serekali za mitaa ni mambo ya muungano ?? k
Soma mada iliyoanzisha huu Uzi. Mkurugenzi wa NEC ameshafafanua huko Juu. Hayo maswali jiulize wewe. Nenda Maktaba kasome vifungu vya sheria na kanuni za Uchaguzi.
 
Soma mada iliyoanzisha huu Uzi. Mkurugenzi wa NEC ameshafafanua huko Juu. Hayo maswali jiulize wewe. Nenda Maktaba kasome vifungu vya sheria na kanuni za Uchaguzi.
Mkurugenzi sijaona alichosema amesisitiza ukazi,,,ila nahoji sheria zipi zina mruhusu mbunge zanzibar kupiga kura je ,,serekali za mitaa ni mabo ya muungano,,tutumie akili kidogo huyo mkurugenzi kama unavyosema katumia sheria ipi au kaamka asubuhi na kuamua ??
 
Wamehairidha uchaguzi jana ili mawaziri wabunge walioteuliwa wakaape kuwa wabunge rasmi ili waje kufanya sigusi uchaguzi
 
Mkurugenzi sijaona alichosema amesisitiza ukazi,,,ila nahoji sheria zipi zina mruhusu mbunge zanzibar kupiga kura je ,,serekali za mitaa ni mabo ya muungano,,tutumie akili kidogo huyo mkurugenzi kama unavyosema katumia sheria ipi au kaamka asubuhi na kuamua ??
Chief,
Mimi sio MwanaSiasa, Ila huwa napenda kujisomea. Moja wapo ikiwa ni kusoma Sheria na Kanuni ili kujua taratibu za nchi. Na hii imenisaidia sana kutokuwa mlalamishi na kutolia lia kila wakati. Nakushauri nenda maktaba tafuta vitabu,journals,magazeti ya zamani n.k. Ujisomee itakusaidia kuelewa mambo kadha wa kadha.
 
Chief,
Mimi sio MwanaSiasa, Ila huwa napenda kujisomea. Moja wapo ikiwa ni kusoma Sheria na Kanuni ili kujua taratibu za nchi. Na hii imenisaidia sana kutokuwa mlalamishi na kutolia lia kila wakati. Nakushauri nenda maktaba tafuta vitabu,journals,magazeti ya zamani n.k. Ujisomee itakusaidia kuelewa mambo kadha wa kadha.
Acha sifa za kijinga ,msomi kama ujitavyo kwa hoja nyepes kama hii ,,,umeshindwa kuelewa kuwa mambo ya Mungano ni yepi ,,nakushauri acha kusoma ,, au unasoma lakin akilizako umewakabidhi watu wakushikie ,,swali ni rahis sana hpo je mambo ya serekali za mitaa ni ya mungano ??
 
Acha sifa za kijinga ,msomi kama ujitavyo kwa hoja nyepes kama hii ,,,umeshindwa kuelewa kuwa mambo ya Mungano ni yepi ,,nakushauri acha kusoma ,, au unasoma lakin akilizako umewakabidhi watu wakushikie ,,swali ni rahis sana hpo je mambo ya serekali za mitaa ni ya mungano ??
Matusi yanatokea wapi!? Nani kajiita msomi!!?? Kupenda kujisomea ni tofauti na Usomi. Ndio maana wewe unapenda kujisomea magazeti ya Udaku lakini haikufanyi Uwe msomi. Jibu la Hilo Swali lako utalipata hapo atakapoapishwa Meya wa Jiji la Dar es Salaam.
 
Sasa hapo naona vurugu zinakalibia, hawa wabunge/madiwani kutaka kushiliki uchaguzi wa meya wa dsm wakati pia wakikaguliwa baazi wameshiliki kuchagua mamea ktk mikoa mingine,, shame on them na kama ningekuwa mm siwezi kukubali hili,, kwani wazanzir wao hawajapiga kura kwao
 
Matusi yanatokea wapi!? Nani kajiita msomi!!?? Kupenda kujisomea ni tofauti na Usomi. Ndio maana wewe unapenda kujisomea magazeti ya Udaku lakini haikufanyi Uwe msomi. Jibu la Hilo Swali lako utalipata hapo atakapoapishwa Meya wa Jiji la Dar es Salaam.
Matusi unayajua ww..?? hakuna swali la kipumbavu ila majibu ya kipumbavu ,,,sasa kama huna jibu ?? Nyamaza wenyemajibu wayatoe ,,, kusoma udaku ni kosoma pia ......ila heri usome udaku.usishikiwe aakili kuliko kusoma mambo yasiyo ya udaku usjikiwe akili
 
Matusi unayajua ww..?? hakuna swali la kipumbavu ila majibu ya kipumbavu ,,,sasa kama huna jibu ?? Nyamaza wenyemajibu wayatoe ,,, kusoma udaku ni kosoma pia ......ila heri usome udaku.usishikiwe aakili kuliko kusoma mambo yasiyo ya udaku usjikiwe akili
Kila la heri Msoma udaku.
 
Kwa mujibu wa maelezo hayo ni kwamba mbunge wa viti maalum kutoka dodoma anaweza kuwa mjumbe wa baraza la madiwani Manyoni na akakosa sifa za kuwa mjumbe wa baraza la madiwani dodoma mjini.
Hii sheria iangaliwe vizuri, inabidi hao viti maalum wawe na sifa ya ukazi huko wanakopatia ubunge ili kuondoa mkanganyiko kwenye udiwani wao.
 
Katika rasimu ya Katiba ya mzee Warioba kulikuwa na kipengele cha kumfukuza mbunge kama amebadili makazi. Kwa jinsi hiyo ilikuwa kuwa mtu anayekaa sehemu moja hawezi kugombea sehemu ambayo hana makazi. Je hao wabunge waliomba ubunge kutokea mikoa gani? Tunajua kuna wabungewa majimbo ambao makazi yao yako Kinondini, je nao wachukuliwe kuwa ni madiwani wa huko Kinondoni? Naona unatengenezwa mgogoro usio wa lazima. Hivi umeya wa jiji una nini mpaka kutengeneza taswira hii? Au ni katika kuuza UDA kama Masabuli alivyofanya? Ninaona kama maelezo haya yana tofautiana na aliyotoa waziri Simbachawene!
 
  • Thanks
Reactions: KXY
Jamani mnahangaika nini fanyeni mahesabu mjue nani atashinda.

CCM hawategemei hao wabunge mnaodhani, kwa idadi iliyopo CCM hata wajichanganye na wabunge wote wa kuteuliwa hawafikii idadi ya UKAWA ambayo inawazidi kwa 13.

Kilichopo CCM wanatafuta mwanya wa kuwarubuni baadhi ya madiwani wa Ukawa kwa kuwahonga ili idadi wanayoitaka itimie kitu ambacho hadi leo wameshindwa.

Juzi walijaribu kumhonga mil. 40 mstahiki meya wa Kinondoni ili awarubuni madiwani wa Ukawa akawakatalia ndiyo wakaamua kuahirisha uchaguzi kwa ghafla.
 
Straiker wao bao la mkono akishirikia na namba wao kailima lazima watupige hat trick tusipokuwa makini
 
Back
Top Bottom