Wabunge tusaidieni fao la kujitoa

Wabunge tusaidieni fao la kujitoa

kabila01

JF-Expert Member
Joined
Apr 21, 2009
Posts
4,236
Reaction score
4,989
Naelekea moja kwa moja kwenye Mara
Hotuba ya Raisi JPM wakati akifuta kikokotoo aligusia kuhusu fao la kujitoa. Akatolea mfano wa wafanyakazi wanaoshiriki mradi wa Ujenzi ambao unadumu kwa miaka mitatu tu baada ya hapo mkandarasi anaondoka. Akasema sio fair kumwambia mtu aliyefanya kazi hiyo akiwa na miaka 32 asubiri mpaka atakapofikisha miaka 60 ndo apewe pesa zake. Kwa sasa hii mifuko ya hifadhi ya jamii bado imeshikilia misimamo yao ile ile hakuna fao la kujitoa. Wabunge tusaidieni kuuliza ili waziri atoe ufafanuzi kama anapingana na maagizo ya mkuu wa nchi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wameshiba hao njaa zetu watajifanya kuzijua kifika 2020
 
Naelekea moja kwa moja kwenye Mara
Hotuba ya Raisi JPM wakati akifuta kikokotoo aligusia kuhusu fao la kujitoa. Akatolea mfano wa wafanyakazi wanaoshiriki mradi wa Ujenzi ambao unadumu kwa miaka mitatu tu baada ya hapo mkandarasi anaondoka. Akasema sio fair kumwambia mtu aliyefanya kazi hiyo akiwa na miaka 32 asubiri mpaka atakapofikisha miaka 60 ndo apewe pesa zake. Kwa sasa hii mifuko ya hifadhi ya jamii bado imeshikilia misimamo yao ile ile hakuna fao la kujitoa. Wabunge tusaidieni kuuliza ili waziri atoe ufafanuzi kama anapingana na maagizo ya mkuu wa nchi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Unaongelea wabunge hawa waliozungumzwa na Prof Asad? (CAG). Hawa wana mambo yao sio hili. Kwanza halihusiki kwenye mafao yao. Kifupi usiwategemee
 
Unaongelea wabunge hawa waliozungumzwa na Prof Asad? (CAG). Hawa wana mambo yao sio hili. Kwanza halihusiki kwenye mafao yao. Kifupi usiwategemee

Waulize kuhusu Sheria ya Vyama vya Siasa, siyo kuhusu maslahi yasiyowagusa.
 
Wabunge unaowaomba wakuulizie ni kina Tulia au?
 
Back
Top Bottom