Wabunge Tanzania wapigana misri

Wabunge Tanzania wapigana misri

umeitiririsha bila hata kuiongeza nyama ,hadi kale ka C & P mwishoni
 
Na bado.

Sioni juhudi zikifanywa turudi kwenye mstari. Badala yake, mifarakano ndio inazidi kuchochewa na itaendelea kukomaa.
 
Nan
*Mbunge wa jimbo la Singida Magharibi kwa kupitia chama cha mapinduzi Ndugu Elibariki Emmanuel Kingu Leo amepigana na mbunge wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar katika jimbo la Mfenesini Ndugu Othman Said Machano Cairo Misri.

Fedhehea hiyo ya nchi imetokea katika hoteli ya Radisson mjini Cairo, Baada ya Mbunge Kingu kumtolea Maneno ya Kashfa Mhe Machano wakati wa kikao cha wabunge walioenda kuiwakilisha nchi yetu Katika kombe la AFCON 2019 ambayo yanafanyika Misri.

Baada Bw Kingu kumtolea maneno haitoshi alisimama na kumkata mtama, Ndipo Mbunge wa viti maalum wa Chadema akiwakilisha Zanzibar Mhe Mariam Msabaha kusimama na kuamulia nae akapigwa Ngumi ya uso kutoka kwa Bw Kingu.

Ndipo askari polisi kutoka Misri alipoamua kuingilia kati na kumtuliza bw kingu, Akiongea mmoja wa wahudumu wa Hoteli huyo alisema "Watanzania Ambao tuliokuwa tunawasikia wanapendana ndio hawa kwa hapa wameonyesha kutokuwa wastaarabu kabisa na wamesababisha kuwapigia kelele wateja wetu.

Kitendo hiki kimetokea Leo Mchana hii ni Aibu sisi kama taifa kingu ametuaibisha sana, ametutia aibu na kuitia Nuksi timu yetu ya Taifa.
C&P
Nani aliekudanganya kuwa tunapendana? Tunaigiza kupendana. Hao wameonyesha hisia zao ambazo hazijafichwa na 'diplomatic politeness'
Kimtokacho mtu ndicho kilichujaza moyo wake.
 
*Mbunge wa jimbo la Singida Magharibi kwa kupitia chama cha mapinduzi Ndugu Elibariki Emmanuel Kingu Leo amepigana na mbunge wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar katika jimbo la Mfenesini Ndugu Othman Said Machano Cairo Misri.

Fedhehea hiyo ya nchi imetokea katika hoteli ya Radisson mjini Cairo, Baada ya Mbunge Kingu kumtolea Maneno ya Kashfa Mhe Machano wakati wa kikao cha wabunge walioenda kuiwakilisha nchi yetu Katika kombe la AFCON 2019 ambayo yanafanyika Misri.

Baada Bw Kingu kumtolea maneno haitoshi alisimama na kumkata mtama, Ndipo Mbunge wa viti maalum wa Chadema akiwakilisha Zanzibar Mhe Mariam Msabaha kusimama na kuamulia nae akapigwa Ngumi ya uso kutoka kwa Bw Kingu.

Ndipo askari polisi kutoka Misri alipoamua kuingilia kati na kumtuliza bw kingu, Akiongea mmoja wa wahudumu wa Hoteli huyo alisema "Watanzania Ambao tuliokuwa tunawasikia wanapendana ndio hawa kwa hapa wameonyesha kutokuwa wastaarabu kabisa na wamesababisha kuwapigia kelele wateja wetu.

Kitendo hiki kimetokea Leo Mchana hii ni Aibu sisi kama taifa kingu ametuaibisha sana, ametutia aibu na kuitia Nuksi timu yetu ya Taifa.
C&P
Wapakiewe kwenye "Next available flight" na wakitua to Dar waswekwe ndani kwa kulidhalilisha Taifa ugenini.
 
Timu ya MaCCM wabunge wa CHADEMA wamefuata nini huko?! Team lenyewe bovu kama chama chao, halina mvuto. Waachieni wafaidi.
 
*Mbunge wa jimbo la Singida Magharibi kwa kupitia chama cha mapinduzi Ndugu Elibariki Emmanuel Kingu Leo amepigana na mbunge wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar katika jimbo la Mfenesini Ndugu Othman Said Machano Cairo Misri.

Fedhehea hiyo ya nchi imetokea katika hoteli ya Radisson mjini Cairo, Baada ya Mbunge Kingu kumtolea Maneno ya Kashfa Mhe Machano wakati wa kikao cha wabunge walioenda kuiwakilisha nchi yetu Katika kombe la AFCON 2019 ambayo yanafanyika Misri.

Baada Bw Kingu kumtolea maneno haitoshi alisimama na kumkata mtama, Ndipo Mbunge wa viti maalum wa Chadema akiwakilisha Zanzibar Mhe Mariam Msabaha kusimama na kuamulia nae akapigwa Ngumi ya uso kutoka kwa Bw Kingu.

Ndipo askari polisi kutoka Misri alipoamua kuingilia kati na kumtuliza bw kingu, Akiongea mmoja wa wahudumu wa Hoteli huyo alisema "Watanzania Ambao tuliokuwa tunawasikia wanapendana ndio hawa kwa hapa wameonyesha kutokuwa wastaarabu kabisa na wamesababisha kuwapigia kelele wateja wetu.

Kitendo hiki kimetokea Leo Mchana hii ni Aibu sisi kama taifa kingu ametuaibisha sana, ametutia aibu na kuitia Nuksi timu yetu ya Taifa.
C&P
Dada Sky Eclat
Kama umeona wewe, sisi tusimulie nini sasa?
Fanya kutupia hiyo video
 
*Mbunge wa jimbo la Singida Magharibi kwa kupitia chama cha mapinduzi Ndugu Elibariki Emmanuel Kingu Leo amepigana na mbunge wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar katika jimbo la Mfenesini Ndugu Othman Said Machano Cairo Misri.

Fedhehea hiyo ya nchi imetokea katika hoteli ya Radisson mjini Cairo, Baada ya Mbunge Kingu kumtolea Maneno ya Kashfa Mhe Machano wakati wa kikao cha wabunge walioenda kuiwakilisha nchi yetu Katika kombe la AFCON 2019 ambayo yanafanyika Misri.

Baada Bw Kingu kumtolea maneno haitoshi alisimama na kumkata mtama, Ndipo Mbunge wa viti maalum wa Chadema akiwakilisha Zanzibar Mhe Mariam Msabaha kusimama na kuamulia nae akapigwa Ngumi ya uso kutoka kwa Bw Kingu.

Ndipo askari polisi kutoka Misri alipoamua kuingilia kati na kumtuliza bw kingu, Akiongea mmoja wa wahudumu wa Hoteli huyo alisema "Watanzania Ambao tuliokuwa tunawasikia wanapendana ndio hawa kwa hapa wameonyesha kutokuwa wastaarabu kabisa na wamesababisha kuwapigia kelele wateja wetu.

Kitendo hiki kimetokea Leo Mchana hii ni Aibu sisi kama taifa kingu ametuaibisha sana, ametutia aibu na kuitia Nuksi timu yetu ya Taifa.
C&P
ANA KIBURI CHA CCM HUYO.ANAJUA "SUPIKA" ATAMLINDA
 
Kumbe ndio maana wapo wanaokataa maoni ya wananchi ya katiba mpya yaliyojali kuzingatia maadili ya uongozi..Physical confrontation ya viongozi ni aibu kwa nchi yetu .Hizi ni indicators za chuki na ubabe bunge linatakiwa zichunguze ukosefu wa maadili wa wabunge hawa.
 
Badala ya kupata umaarufu kwenye kufunga magoli timu za nje. Umaarufu wa Tanzania unapatikana kwenye wabunge wa CCM kuonyesha ujinga. Ndugai upo? AMA mpaka mheshimiwa rais atoe maelekezo ndio uchukue hatua????
Jamani tuache kumuudhi mheshimiwa rais na kumtia aibu mbele ya wenzake atuletee maendeleo
 
Kingu kwa kupenda pale kati hana cha kupoteza. Jamani nzi kufia kwenye kidonda ni halali.
 
Back
Top Bottom