johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,976
Hili si jambo dogo kwa mawaziri na wabunge kutumia miezi 3 kujadili bajeti ya miezi 12 ambayo kimsingi ingeweza kujadiliwa na kupitishwa ndani ya wiki 3. Nitoe tu rai kwa wabunge wetu walitafakari hili kama kweli tunataka kuiendea nchi ya viwanda. Ahsante!