Wabunge tafakarini: Je, bado tunahitaji miezi 3 kujadili bajeti ya miezi 12?

Kweli hakuna sababu hats kidogo! Mwezi mmoja ungetosha chamuhimu wangefuta maukiritimba n mautaratibu mareeefu mfano inabore sana wanapoanzaga kumwita mbunge mmojammoja kusema ndiyo au hapana so wangebonyeza tuu mahali kisha listing itoke nani alisema ndiyo na nani hapana...Benge lenyewe limepoteza umaana wake Siku hizi.
 
Hii mifumo ipo kuimarisha mifumo ya unyonyaji na kuthibitisha matumizi ya pesa za umma hata kama yatakuwa ya hasara.
 
bajet iliyopita walihaidi ajira 52000 kwa vijana cha ajabu mambo ni hovyo hovyo mpaka sasa vijana wanarandaranda tu.
serikali hii inatenga bajeti hewa kitu cha ajabu kabisa

kusema kweli mkuu nchi imekushinda ukweli lazima usemwe
 
Kweli hakuna sababu hats kidogo! Mwezi mmoja ungetosha chamuhimu wangefuta maukiritimba n mautaratibu mareeefu mfano inabore sana wanapoanzaga kumwita mbunge mmojammoja kusema ndiyo au hapana so wangebonyeza tuu mahali kisha listing itoke nani alisema ndiyo na nani hapana...Benge lenyewe limepoteza umaana wake Siku hizi.
Bunge hupoteza maana linapokosa wabunge makini!
 
Mie nashauri kwa kasi JPM na uhalisia mfumo,wabaki wagunge 2@mkoa me na ke inatosha.
 
screenshot_2018-04-04-10-40-07-2-png.733914
 
Hata sidhani kama kuna haja ya bunge kujadili na kupitisha,nani anaijali na kuifuata hiyo?
Ni kweli mkuu, kujadili na kutopitisha mawazo mapya katika kitu ambacho kimeshapangwa ni kupoteza pesa tu za sitting allowance za miezi 3. Ealiangalie hill kwa kweli
 
Bajeti yenyewe wanapangiwa na mtu mmoja, sema pale wanakaa kula posho tu
 
Katika hili, najua hao wabunge hawatokubali, ila nashauri Mh. Raisi aingilie tu kati. Mwezi mmoja wa bajeti, na ikiwezekana na mwingine mmoja au miwili (kwa nyakati tofauti) kwa ajili ya majukumu mengine.
Bunge linachukua muda mwingi kupanga mambo 'hewa'.
 
Katika hili, najua hao wabunge hawatokubali, ila nashauri Mh. Raisi aingilie tu kati. Mwezi mmoja wa bajeti, na ikiwezekana na mwingine mmoja au miwili (kwa nyakati tofauti) kwa ajili ya majukumu mengine.
Bunge linachukua muda mwingi kupanga mambo 'hewa'.
Hakika mkuu!
 
Ni kweli mkuu, kujadili na kutopitisha mawazo mapya katika kitu ambacho kimeshapangwa ni kupoteza pesa tu za sitting allowance za miezi 3. Ealiangalie hill kwa kweli
Awamu hii bunge limepoteza sana thamani yake,limekosa mvuto ukizingatia mambo yao wanayafanya sirini. Nafikiri hawana haja ya kuwepo ni kumaliza fedha zetu tu.
 
Katika mambo haya ya ulaji ndipo utauona mshikamano wa hawa ndugu zetu. Nakumbuka lema alivyomshukia Zitto kuhusu kuondolewa posho za makalio.
 
Back
Top Bottom