Wabunge na "umjini mjini"

Mtanzania haswa

JF-Expert Member
Oct 31, 2010
663
99
Wana JF...
Haya ni mawazo yangu binafsi source ni nionavyo mimi....
Ni juzi tu jumatatu tarehe 19/07/011 ambapo Waziri mkuu mh. Mizengo K. Pinda aliliomba bunge kuahilishwa kwa mjadala wa bajeti ya Wizara ya Nishati na Madini baada ya asilimia kubwa ya wabunge kutaka kuikataa bajeti ya 2011/12. Hoja za wabunge wengi zilijikita ktk matatizo ya umeme yaliyopo nchini kwa sasa huku wachache wakihoji kuhusu madini na mikataba mibovu.
"UMJINI MJINI" wa wabunge wetu ni pale ambapo sikusikia hata mbunge mmoja a
https://www.jamiiforums.com
 
sikuona hata mbunge mmoja akichangia kuhusu upandishwaji wa nishati ya mafuta ya taa ambayo inategemewa vijijini. Hii inatokana na wabunge wengi kugombea ubunge wakitokea mjini na kutokufahamu maisha ya mwanakijiji na kipato chake. Tunasema kipato kwa MTZ ni chini ya dola moja wakati mafuta bei yake ni zaidi ya dola moja. wabunge wanamwakilishaje mkulima, je kuwe na viti maalumu vya wawikilishi wa vijijini? ndio maana bei ya mafuta ilipanda pasipo kupingwa. Wabunge wanawasaliti wananchi wa vijini.
 
sikuona hata mbunge mmoja akichangia kuhusu upandishwaji wa nishati ya mafuta ya taa ambayo inategemewa na wananchi wengi vijini. Hii inatokana na wabunge wengi kugombea ubunge wakitokea mjini na kutokufahamu maisha ya mwanakijiji na kipato chake. Tunasema kipato kwa MTZ ni chini ya dola moja wakati mafuta bei yake ni zaidi ya dola moja. wabunge wanamwakilishaje mkulima, je kuwe na viti maalumu vya wawikilishi wa vijijini? ndio maana bei ya mafuta ilipanda pasipo kupingwa. Wabunge wanawasaliti wananchi wahttps://www.jamiiforums.com
Bado kabisa!still pending
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom