Mtanzania haswa
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 663
- 99
Wana JF...
Haya ni mawazo yangu binafsi source ni nionavyo mimi....
Ni juzi tu jumatatu tarehe 19/07/011 ambapo Waziri mkuu mh. Mizengo K. Pinda aliliomba bunge kuahilishwa kwa mjadala wa bajeti ya Wizara ya Nishati na Madini baada ya asilimia kubwa ya wabunge kutaka kuikataa bajeti ya 2011/12. Hoja za wabunge wengi zilijikita ktk matatizo ya umeme yaliyopo nchini kwa sasa huku wachache wakihoji kuhusu madini na mikataba mibovu.
"UMJINI MJINI" wa wabunge wetu ni pale ambapo sikusikia hata mbunge mmoja a
https://www.jamiiforums.com
Haya ni mawazo yangu binafsi source ni nionavyo mimi....
Ni juzi tu jumatatu tarehe 19/07/011 ambapo Waziri mkuu mh. Mizengo K. Pinda aliliomba bunge kuahilishwa kwa mjadala wa bajeti ya Wizara ya Nishati na Madini baada ya asilimia kubwa ya wabunge kutaka kuikataa bajeti ya 2011/12. Hoja za wabunge wengi zilijikita ktk matatizo ya umeme yaliyopo nchini kwa sasa huku wachache wakihoji kuhusu madini na mikataba mibovu.
"UMJINI MJINI" wa wabunge wetu ni pale ambapo sikusikia hata mbunge mmoja a
https://www.jamiiforums.com