Kachocho T.K
Member
- Feb 1, 2011
- 25
- 3
Wiki iliyopita nilikuwa nafuatalia mjadala wa mswada wa uundwaji wa katiba mpya ya amuhuri ya muungano wa Tanzania, uliojadiliwa bungeni kwa zaidi ya vikao vitatu mfululizo. Baada ya upinzani hasa peeeples na NCCR kuona ni usanii na kuamua kuususia mjadala wabunge wa chama kile pamoja na washirika wao wakaamua kutumia asilimia 95 ya muda kulaani kitendo cha mainteligensia kususia wakasahau majukumu yao ya kuchangia mswada huo. Najiuliza hivi wananchi tuliwatuma kutumia muda kuwajadili watu au kutoa mawazo yao kutetea watanzania walio wachagua? kwa nini posho walizolipwa kwa muda huo watanzania tusizidai zirudishwe kwani hawakuzifanyia kazi sitahiki kwa mujibu wa kifungu no............ cha katiba ile na kifungu no...... cha kanuni za kudumu za bunge km spika anavyotumia vifungu hivi kuwanyima haki ya kuzungumza wenzetu?