Hakuna cha kujadili, nimemsikia naibu anasema wamalize jioni swala la Africa Mashariki na kesho wapumzike.Kwa nini usithibitishe hiyo tetesi kutoka katika hicho chanzo chako?
Wana JF kuna tetesi kuwa wabunge watajadili kuhusu sheria ya mifuko ya jamii kesho. please mwenye kujua ni lini watajadili tujuze
Wana JF kuna tetesi kuwa wabunge watajadili kuhusu sheria ya mifuko ya jamii kesho. please mwenye kujua ni lini watajadili tujuze
Hakuna cha kujadili, nimemsikia naibu anasema wamalize jioni swala la Africa Mashariki na kesho wapumzike.
Nashangaa kwa nini mwongozo wa Mnyika wasijadili kesho. hili taifa linaenda wapi?
Wapumzike kwa kazi gani?? au wanataka siku zindelee kuongezeka na posho nayo iongezeke.. hawajui hizo ni kodi zetu wanaendelea kutafuna huku sisi tunataabika.