Nadhani wabunge wote wanapaswa kuungana kupinga makusanyo ya pesa za halmashauri kufanywa na TRA.
Ni dhahiri kuna halmashauri hazitofaidika na pesa zao, na matokeo yake kuhamishwa kwenda halmashauri zilizoitwa maskini zaidi nchini!
Yaani leo, serikali ikae na kuanza kufikiria kuisadia Mwanza na kuiacha Manyara ijiendeshe?
Wabunge hebu kaeni na kutazama madhara ya mapato ya ndani kukusanywa na mpango! Wote mnalalamikia takwimu zake za juu ya hali ya kipato, sasa mna uhakika gani kama pesa za halmashauri zenu hazitotumika kwenda kusaidia mikoa ya kanda ya ziwa kwa kuwa ni maskini zaidi!
Ni dhahiri kuna halmashauri hazitofaidika na pesa zao, na matokeo yake kuhamishwa kwenda halmashauri zilizoitwa maskini zaidi nchini!
Yaani leo, serikali ikae na kuanza kufikiria kuisadia Mwanza na kuiacha Manyara ijiendeshe?
Wabunge hebu kaeni na kutazama madhara ya mapato ya ndani kukusanywa na mpango! Wote mnalalamikia takwimu zake za juu ya hali ya kipato, sasa mna uhakika gani kama pesa za halmashauri zenu hazitotumika kwenda kusaidia mikoa ya kanda ya ziwa kwa kuwa ni maskini zaidi!