Zitto nimekuwa nikiona anatuma picha facebook na twitter kuwa yuko Afrika Kusini kwa ziara ya kikazi. Pia kuna taarifa (nilizozipata-rasmi) kuwa Silinde yuko nchini China kwa ziara ya kikazi pia, ya siku zisizopungua kumi, tangu tarh 30 Juni mwaka huu. Kafulila sifahamu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.