Wa Ndima
JF-Expert Member
- Aug 13, 2010
- 1,526
- 328
Kuna baadhi ya watu hapa hawapendi mijadala ya wazi hasa inayo husu watu/issues za chama wanavyo vipenda,hii haiwezi kua sawa hata kidogo, hili ni jukwaa huru lenye mijadala huru pia.
Tupende kujadili hata yale ambayo yanagusa mapenzi ya nafsi zetu. tuongozwe na uzalendo katika mijadala kwa hoja zenye mashiko kuliko matusi na kashfa...
Tuache phobiasis kwa baadhi ya hoja,tu ache ushabiki shabiki usio na tija kwetu wala kwa vizazi vyetu.
Wabunge hao uliowataja wamefanya mazuri kwa Taifa sio jimbo tu maana tunawapongeza wale waliowachagua kwa manufaa ya Taifa letu.