HisiaZAkweli
Member
- Nov 2, 2010
- 36
- 8
Nimependezwa na Majina ya wapiganaji walioingia BUNGENI kupitia chama cha chadema.....tunatangaza kusimamia utawala wa haki ,sheria na uhuru wa wazawa. Kikosi kinajitosheleza sana kuleta mabadiliko tanzania..... HONGERA KWA WANANCHI walioielewa falsafa yetu,hakika wengi zaidi watazidi kuielewa