Tena amesema wabunge wa upinzani! Kuna jambo lipo Nyumba ya hoja yake, lkn hajatumia kichwa chake vizuriEbu fikiria rationally bandugu: mbunge yeyote anasema hivyo kwa kuamini serikali itatimiza wajibu wake wa kukusanya kodi na kutumia mapato yapatikanayo kwa maendeleo ya walipa kodi. Sasa kwa uelewa wako unafikiri mbunge akisema atajenga barabara, alimaanisha atajenga kwa kutumia pesa zake? Alisema hivyo akiamini atakapokuwa anaisimamia serikali, serikali itatimiza wajibu wake!
Mbunge kazi yake ni kuishauri serikali namna ya kutumia mapato yatokanayo na kodi kutegemea na changamoto zilizopo kwenye eneo husika. Serikali yaweza kuwa haifahamu changamoto mahususi kutoka kwenye localities. Hivyo mbunge anavyowaahidi wapiga kura, anawaahidi kwa imani kwamba serikali itasikiliza na kuzitatua changamoto hizo.
Sasa sielewi hoja hapa ni nini haswa? Kwanini lawama ziende kwa mbunge na siyo serikali kwa kushindwa kutumiza wajibu wake?
Ilani ya chama kipi?Aina ya siasa hizi za kilaghai ni vyema tukaziacha; inabidi tufike mahali mbungd awajibishwe kwa ahadi zake anazozitoa pindi anaomba kura.
Ilani ya chama ndio iwe muongozo wa nini serikali itawafanyia wananchi.
Kijana nadhani umesoma lakini hujaelika. Ni hatari sana kwa watu wa namna yako kuendelea kushawishi umma kwa kuwa unaweza kuwasadikisha upumbavu.Wabunge wetu hasa wale wa upinzani wakati wanakuja kutuomba kura huja kwa maneno matamu yaliyojaa ahadi kede kede ali mradi tuwape kura.
Huja na ahadi ambazo ukizipima unaona marekani hii hapa.
Wakati wakirudi tena kutumba kura tukiwauliza kwanini hawajatimiza wajibu wao hudai kua jukumu lao sio kuleta maendeleo bali ni kuisimamia serikali.
Sasa kama jukumu la kuleta maendeleo sio lao ? kwanini watoe ahadi zisizoweza kutekelezeka.
Hawaoni kwamba kutoa ahadi hewa ni kuipa serikali mizigo yao.
Hawaoni kwamba ahadi hizo ni sawa na hadaa na utapeli.
Kwanini wasitoe ahadi zilizo ndani ya uwezo wao kuziteekeleza?
Au ahadi ambazo ni rahisi kuisimamia serikali ili izitekeleze.
Ifike mahali sasa siasa za namna hii ziishe na wabunge waje na mikakati yao ya maendeleo isiyotegemea mbeleko ya serikali katika kuikamilisha.
Wananchi tumechoka ahadi za uongo uongo za wabunge wetu hasa wa upinzani.
Aina ya siasa hizi za kilaghai ni vyema tukaziacha; inabidi tufike mahali mbungd awajibishwe kwa ahadi zake anazozitoa pindi anaomba kura.
Ilani ya chama ndio iwe muongozo wa nini serikali itawafanyia wananchi.
Aina ya siasa hizi za kilaghai ni vyema tukaziacha; inabidi tufike mahali mbungd awajibishwe kwa ahadi zake anazozitoa pindi anaomba kura.
Ilani ya chama ndio iwe muongozo wa nini serikali itawafanyia wananchi.
Aina ya siasa hizi za kilaghai ni vyema tukaziacha; inabidi tufike mahali mbungd awajibishwe kwa ahadi zake anazozitoa pindi anaomba kura.
Ilani ya chama ndio iwe muongozo wa nini serikali itawafanyia wananchi.
Aina ya siasa hizi za kilaghai ni vyema tukaziacha; inabidi tufike mahali mbungd awajibishwe kwa ahadi zake anazozitoa pindi anaomba kura.
Ilani ya chama ndio iwe muongozo wa nini serikali itawafanyia wananchi.
Na vipi chama chake kisipewe nafasi ya kushinda, ni nini hatma ya huyo mbunge na wananchi wake? Yaani chama kilichoshinda ni mshindani wake. Anao huo uwezo wa kukifanya kitu hicho hicho, utasema ndio. Je, anao uwezo wa kufanikiwa kuibana serikali katika kutimiza ahadi zake alizozitoa huko mwanzoni?Sipingi kabisa mtazamo wako lakini hoja yako iko kiupotoshaji, uelewa finyu na propaganda ndani yake. Hivi umewahi kuona serekali inaomba kura? Msingi wa mbunge kuahidi kujenga miundo mbinu ni kwamba pindi chama chake kikipewa nafasi ya kuongoza serekali basi atahakikisha anaibana serekali ya chama chake kutekeleza ahadi hizo.
Ebu fikiria rationally bandugu: mbunge yeyote anasema hivyo kwa kuamini serikali itatimiza wajibu wake wa kukusanya kodi na kutumia mapato yapatikanayo kwa maendeleo ya walipa kodi. Sasa kwa uelewa wako unafikiri mbunge akisema atajenga barabara, alimaanisha atajenga kwa kutumia pesa zake? Alisema hivyo akiamini atakapokuwa anaisimamia serikali, serikali itatimiza wajibu wake!
Mbunge kazi yake ni kuishauri serikali namna ya kutumia mapato yatokanayo na kodi kutegemea na changamoto zilizopo kwenye eneo husika. Serikali yaweza kuwa haifahamu changamoto mahususi kutoka kwenye localities. Hivyo mbunge anavyowaahidi wapiga kura, anawaahidi kwa imani kwamba serikali itasikiliza na kuzitatua changamoto hizo.
Sasa sielewi hoja hapa ni nini haswa? Kwanini lawama ziende kwa mbunge na siyo serikali kwa kushindwa kutumiza wajibu wake?
Na vipi chama chake kisipewe nafasi ya kushinda, ni nini hatma ya huyo mbunge na wananchi wake? Yaani chama kilichoshinda ni mshindani wake. Anao huo uwezo wa kukifanya kitu hicho hicho, utasema ndio. Je, anao uwezo wa kufanikiwa kuibana serikali katika kutimiza ahadi zake alizozitoa huko mwanzoni?
Mzee acha kudanganya hapa. Unasema serikali inaweza isijue changamoto zilizo kwenye localities lakini mbunge akajua?? Hivi unajua muundo wa serikali ulivyo wewe?? Serikali sio Rais-->PM-->Baraza la mawaziri tu, bali inaundwa tokea ngazi za vijiji, kata, tarafa, wilaya, mkoa, mpaka serikali kuu na huko kote kuna viongozi wanaotumikia wananchi na serikali kuu inapewa taarifa zote.
Hapa umechinganya. Sasa huoni kama wanapoisimamia serikali, na serikali ikatimiza wajibu wake, ndiyo kuleta maendeleo kwenyewe?. Kazi yao ni kuisimamia serikali tu na wala sio waleta maendeleo.
Unajichanganya tena! Sasa mbunge atasema anaisimamia serikali kwenye nini na kwanini? Yaani unataka mbunge aseme, "mkinichagua nitaisimamia serikali"? Wapiga kura wanaojielewa si watamwomba aelezee kwa undani ni kivipi itaisimamia serikali na ili nini kifanikiwe?Kwanini wasiseme ukweli tu kuwa wataisimamia serikali na kuikumbusha ifanye kazi yake ya kuleta maendeleo??