Obugwa Izoba
JF-Expert Member
- Nov 16, 2013
- 10,480
- 11,684
yaan umlinganishe malema na ptpvgu mvu taji, malema timamu sugu sio
Haki hutafutwa, hupewi tu kwenye sahani!Jana kule katika Bunge SA tumeshuhudia Julius Malema akikomaa na ubadhilifu uliofanywa na Rais Zuma na kupelekea kutolewa yeye na wenzake nje kwa nguvu na walinzi.
Haya yamepata kutokea katika Bunge letu pale Kiongozi wa upinzani aliposimamia hoja yake na kukataa kutoka nje na walinzi walipotaka kumtoa nje Kijana Mbunge Sugu na wenzake nao walipoamua kumlinda asitolewe na walinzi wakatumia nguvu kumtoa.
Kama wawakilishi wa wananchi Wabunge hawapaswi kukubali kirahisi watawala wanapotaka kuzima hoja zao kwa kutumia mamlaka waliyonayo kuwatoa nje, njia ya mapambano ni nzuri zaidi katika kufikisha ujumbe kuwa wakisemacho ni cha dhati.
Mbaya kwetu ni kuwa Mbunge Sugu na wenzake huku kwetu tuliwaona wahuni lakini kwa South Afrika Malema na wenzake wamehesabiwa ni mashujaa kwa kitendo cha kutaka Zuma arudishe fedha alizotumia kujijengea hekalu lake. Tunapaswa kuwaunga mkono hawa wa kwetu ili tabia za kifisadi zisiendelee kulindwa.
View attachment 226517
View attachment 226518
View attachment 226519
View attachment 226520
Mashtaka ya kisiasa yaliyotungwa na Msaliti Zuma dhidi ya JuJu baada ya kumuona threat ndani ya chama hata baada ya kufukuzwa
JuJu akiwa mwenyekiti wa Vijana ANC pamoja na akina Floyd Shivambu ,Fikile Mbalula(alikuja kupewa Uwaziri tena wa mitego tu) walimsaidia sana Zuma wakati Mbeki alipotaka kumpoteza kabisa kwenye political Landscape lakini alipopata Urais kama walivyo viongozi wengi maimla wa Afrika akamgeuzia mashambulizi JuJu