To summarise ur answer, u don't have statistics to prove 'malaya wengi hapa Kenya wanatoka Uganda na Tz', thats a bottom line.
Sasa huu ndio umbea na udaku, wenye busara wameshabaini. Sasa hio habari ya kujibu sijui kufight fire..is just plain stupid of you..pathetic ..
why do you need stat,its a well known fact.look i dont want to go there becouse i dont need to bring bad blood which seems to undergo in this forum.am new here and seem there is a confrontation between The TZ and kenyan.which i think its stupid or its kind of joke actually i took it as a joke,but people like you make me think otherwise.
Idiot you must know iam an african first before am a kenyan,and am here becouse
of the standards/culture thats connect the two countries.which i suppose language plays a big role.
So ibilisi like you trying to bring bad blood i confront with my all
Second udaku au umbea is misunderstood by people like u and your ilk.i suppose go back to school and get you grammar books and try to get something out of it
instead of playing the judge,which between me and you we know you are not half of it.
nenda usome udaku kisha uje tuongee.
yeah, i feel like i finally got you and now you start to use abusive language, haha haha ha! you are a loser in this life.((((you better use your mother tongue as you can't express yourself properly in english. you really suffer from kenyariasis🙂))))
am having fan here,my first time i love it
i was told you guys wont disappoint me.tanzanian coconut
Ivuga hata mimi nakunaliana na wewe huyu anayejiita mkenya amekurupuka na hiyo mada kwa vile amehusisha matatizo binafsi ya vijana kadhaa Wa kibongo na Watanzania wote. Mimi vile vile najua kuna watanzania waliofanikiwa Johannesburg na Capetown ambao wanaendesha biashara za hotel and tours. Kwa hiyo si kweli kwamba hao wanaokaa kwenye fukwe wakisubiri meli basi wawakatishe tamaa watanzania wengine wenye uwezo wa kubuni miradi nje ya nchi. Je huyo mkenya analonganisha vipi maisha ya wabongo hao huko Durban na Capetown dhidi ya maisha ya kifukara wanayoishi wakazi Wa Mathare na Kibera zilizopo kilomita Chache toka kitovu cha Nairobi
lol..small minded..sasa umeulizwa uthibitishe kauli yako kwa kuleta statistics umeshindwa unaanza kuwa defensive and abusive. I can see a picture of giullible zombie all over, how come msomi akatae kuleta takwimu? mie sina haja ya kuleta blood wala sijui nini, i have Kenyan siblings and i will be the last kwene hizo tambo zako. Nakuchek tu unavohanyahanya poor gullible & agitated zombie..
Caro, speak for yourself. Hakuna aliyemuwashia moto huyo jamaa. Amejiwashia mwenyewe. Tunachofanya ni kumuongezea/kummwagia/kumnyunyizia petroli akaangike vizuri. Asafikirie wabongo wote ni maruhani!jamani mbona mnamuwashia moto huyu jamaa. sidhani kama ni kosa kusema kitu ambacho ameona. Acheni inferiority complex zenu bwana, wabongo wanapenda sana kujenga nyumba hewani na akili ya kufanya mambo magumu kupita uwezo.
juzi juzi nimekwenda south africa mji wa durban kutembaa,basi ikawa nitakwenda kutembea bandarini ili nionyeshwe bandari kubwa africa.
nimewakuta wabongo wengi ajabu halafu wachafu sana wanalala kwenye park karibu bandarini.niliskia wanongeo kiswahili basi nikawakaribia, katika mazungumzo niliwauliza wanafanyaje pale,eti wanangoja kupanda meli waeende zao ulaya.wengine eti wamengoja miaka kumi pale bandarini.wote wale walikuwa watanzania.sijui kama serikali yenu Tanzania inajua kuhusu hawa jamaa zetu,maana ni wengi ajabu.
Kama ni kuadhirika kimaisha sio SA tu hata ulaya wapo watanzania wanaadhirika kweli kweli. Juzi juzi nilikuwa London,jamaa moja aliingia kwenye Mgahawa, akaangaza angaza macho, alipotuona na kutusikia tukiongea kiswahili wakati tunakula (tulikuwa waTZ 2 na Mkenya moja) akaja kutuomba chakula. Ukweli sikuamini macho na masikio yangu, lakini huo ndio ukweli uliotokea.Baada ya kumdadisi anatoka wapi hapa TZ akatueleza kwamba anatoka DSM sehemu za Ubungo Msewe
juzi juzi nimekwenda south africa mji wa durban kutembaa,basi ikawa nitakwenda kutembea bandarini ili nionyeshwe bandari kubwa africa.
nimewakuta wabongo wengi ajabu halafu wachafu sana wanalala kwenye park karibu bandarini.niliskia wanongeo kiswahili basi nikawakaribia, katika mazungumzo niliwauliza wanafanyaje pale,eti wanangoja kupanda meli waeende zao ulaya.wengine eti wamengoja miaka kumi pale bandarini.wote wale walikuwa watanzania.sijui kama serikali yenu Tanzania inajua kuhusu hawa jamaa zetu,maana ni wengi ajabu.
Na wakenya pia...Jamani si kusema kwa ubaya.nisharudi zangu kenya.
kitu chengine umalaya upo kila mahali,hata hapa kenya malaya wengi ni wabongo na waganda. lakini issue hapa ni hao mabaharia kama vile mwingine amesema.hili ni soma tosha tusije takakimbila ugenini kumbe maisha huko ni mabovu.