Wabongo wanahadhirika SA.

Nenda Summit Club pale Johannesburg ukaone mabinti Wa kikenya walivyojipanga kuuza miili yao usiku. Usikalie tu kuwasema wabongo dada zenu wanawadhalilisha sana
i know the place
kokimissjuly.jpg
 
Warudi nyumbani kufanya nini!! Wache wakae huko huko watafute maisha...wakirudi Bongo hakuna deal sana sana wataongeza idadi ya vibaka!!

maisha bora yapo kwenu. mdhau kwao ni mtumwa. wamekaa huko miaka kumi wanatafuta maisha hawajayaona. wenzao walioachwa bongo wamefika mbali kimaisha. ama kweli wabongo tu wavivu hata kufikiri. hizo nguvu wanazotumia kulala nje si bora wangelima hata mchicha watuuzia wajasi
 
Kama ni kuadhirika kimaisha sio SA tu hata ulaya wapo watanzania wanaadhirika kweli kweli. Juzi juzi nilikuwa London,jamaa moja aliingia kwenye Mgahawa, akaangaza angaza macho, alipotuona na kutusikia tukiongea kiswahili wakati tunakula (tulikuwa waTZ 2 na Mkenya moja) akaja kutuomba chakula. Ukweli sikuamini macho na masikio yangu, lakini huo ndio ukweli uliotokea.Baada ya kumdadisi anatoka wapi hapa TZ akatueleza kwamba anatoka DSM sehemu za Ubungo Msewe

mlimpa chakula? vipi jamaa hakupata kazi hata ya utopasi? wengi wanakimbilia ulaya wakijidanganya kuwa watapata kazi nzuri kuliko kilimo cha mboga. basi bora huyo jamaa mngemsaidia nauli akarudi msewe.
 
The authorities have failed to address the povercy and unemployement isssue(s) at home, in-country, how the hell do you think they can fix these issues across the border? - thousands miles away!?

When did you last visit Kibera? Are these Wabongo worse off?

what am trying to put forward is that they are suffering in a foreign country because of some weird dreams of making overseas.somebody mentioned this should be a teaching,and please dont underestimate the power of truth,may be something will be done even if not by Tz goverment

the kibera people are suffering here at home and our government is doing something about it and its not like there are some kenyan in some unknown country in a community like living like what i saw in SA,and if there is am sure our government will be willing to do something.
 
Nenda Summit Club pale Johannesburg ukaone mabinti Wa kikenya walivyojipanga kuuza miili yao usiku. Usikalie tu kuwasema wabongo dada zenu wanawadhalilisha sana

Johanesburg, Pretoria na Durban wako vichagudoa kibao kutoka kenya wanajidai hawajui kiswahili shida ukiongea nao kiingereza na kuwauliza wanatokea wapi ndio utagundua ni wakenya. Wengine tukiwa huko tunajifanya wamarekani hivyo tunawachuniaga maana nasikia ukigonga akikujua wewe wa east africa hawachelewi kukaganda na kukuita husband....
 
for failing to confront the truth about yourself and instead trying to see others as less fortunate than you are. that's a complex, bro!

No please dont get me wrong,i didnt see them as unfortunate, but misinformed people,somebody should have lie to them that u you can make in europe or whichever country they planning to go.Am sure some of them may be are from a very well to do family, but because they have been misinformed they end up living like animal as somebody put it earlier.

what truth about myself.i dont get you
 
Ndugu yangu mkenya next time usiwasogelee wanaweza kukukaba hao jamaa. Durban wamejazana watoto wa Ilala wakitegemea kuzamia. Hawana deal wamebaki kuwa vibaka tu huko. Watanzania tukubali ukweli kuwa jamaa zetu wapo katika hali ngumu huko Durban. Ukienda huo ndo utaelewa kwa nini mkenya kapost hiyo sredi
 
Ndugu yangu mkenya next time usiwasogelee wanaweza kukukaba hao jamaa. Durban wamejazana watoto wa Ilala wakitegemea kuzamia. Hawana deal wamebaki kuwa vibaka tu huko. Watanzania tukubali ukweli kuwa jamaa zetu wapo katika hali ngumu huko Durban. Ukienda huo ndo utaelewa kwa nini mkenya kapost hiyo sredi

ala kumbe nina bahati.siwakaribi siku nyingine kama nitajaaliwa kwenda huko tena.Asante
 
Jamani si kusema kwa ubaya.nisharudi zangu kenya.

kitu chengine umalaya upo kila mahali,hata hapa kenya malaya wengi ni wabongo na waganda. lakini issue hapa ni hao mabaharia kama vile mwingine amesema.hili ni soma tosha tusije takakimbila ugenini kumbe maisha huko ni mabovu.

Una takwimu za kuonesha uraia wa malaya wanaopatikana huko kwenu Kibera? peleka huko udaku wako..ala
 
Una takwimu za kuonesha uraia wa malaya wanaopatikana huko kwenu Kibera? peleka huko udaku wako..ala

Sasa udaku unatokea wapi?This is what i call double standard.kwani huku ona ule niliye mjibu akishtaki Johannesburg malaya ni wakikenya.

dude i dont know what kind of dubbies you smoke,but next time will you please comprehend
 
Sasa udaku unatokea wapi?This is what i call double standard.kwani huku ona ule niliye mjibu akishtaki Johannesburg malaya ni wakikenya.

dude i dont know what kind of dubbies you smoke,but next time will you please comprehend

Jibu hoja ..takwimu zipo wapi ..otherwise omba radhi kwa kauli za kipuuzi zilizojaa generalization.
 
juzi juzi nimekwenda south africa mji wa durban kutembaa,basi ikawa nitakwenda kutembea bandarini ili nionyeshwe bandari kubwa africa.

nimewakuta wabongo wengi ajabu halafu wachafu sana wanalala kwenye park karibu bandarini.niliskia wanongeo kiswahili basi nikawakaribia, katika mazungumzo niliwauliza wanafanyaje pale,eti wanangoja kupanda meli waeende zao ulaya.wengine eti wamengoja miaka kumi pale bandarini.wote wale walikuwa watanzania.sijui kama serikali yenu Tanzania inajua kuhusu hawa jamaa zetu,maana ni wengi ajabu.

Nina uhakika uli-check passport zao kwanza na kukuta ni za wa-tz ndio maana ukaleta hii thread, kama hukufanya hivi sina cha kuchangia kwenye thread hii kwani nitakuwa nashiriki kupiga umbea.......
 
Jibu hoja ..takwimu zipo wapi ..otherwise omba radhi kwa kauli za kipuuzi zilizojaa generalization.

wewe unanifunza vile jibu hoja.una nini wewe.

hapa kuna watu wa kila aina,wajinga,werevu na wapuzi pia,

nitamjibu kila mmoja anayvouliza au kujibu swali lake.

ikibidi. i fight fire with fire
 
Nina uhakika uli-check passport zao kwanza na kukuta ni za wa-tz ndio maana ukaleta hii thread, kama hukufanya hivi sina cha kuchangia kwenye thread hii kwani nitakuwa nashiriki kupiga umbea.......
abdulhalim
haya mwangalie mwenzako huyu anauliza kama niliangalia passpoti.sasa unataka nimjbu nini
 
wewe unanifunza vile jibu hoja.una nini wewe.

hapa kuna watu wa kila aina,wajinga,werevu na wapuzi pia,

nitamjibu kila mmoja anayvouliza au kujibu swali lake.

ikibidi. i fight fire with fire

To summarise ur answer, u don't have statistics to prove 'malaya wengi hapa Kenya wanatoka Uganda na Tz', thats a bottom line.

Sasa huu ndio umbea na udaku, wenye busara wameshabaini. Sasa hio habari ya kujibu sijui kufight fire..is just plain stupid of you..pathetic ..
 
juzi juzi nimekwenda south africa mji wa durban kutembaa,basi ikawa nitakwenda kutembea bandarini ili nionyeshwe bandari kubwa africa.

nimewakuta wabongo wengi ajabu halafu wachafu sana wanalala kwenye park karibu bandarini.niliskia wanongeo kiswahili basi nikawakaribia, katika mazungumzo niliwauliza wanafanyaje pale,eti wanangoja kupanda meli waeende zao ulaya.wengine eti wamengoja miaka kumi pale bandarini.wote wale walikuwa watanzania.sijui kama serikali yenu Tanzania inajua kuhusu hawa jamaa zetu,maana ni wengi ajabu.

Watu wengine kwa kufuatiliana maisha!

Sasa kama mtu raha yake kukaa bandarini anahesabu meli wewe kinakuwasha nini?
 
No please dont get me wrong,i didnt see them as unfortunate, but misinformed people,somebody should have lie to them that u you can make in europe or whichever country they planning to go.Am sure some of them may be are from a very well to do family, but because they have been misinformed they end up living like animal as somebody put it earlier.

what truth about myself.i dont get you
you better use your mother tongue as you can't express yourself properly in english. you really suffer from kenyariasis:)
 
kakurpuka kuleta taarifa hapa

Ivuga hata mimi nakunaliana na wewe huyu anayejiita mkenya amekurupuka na hiyo mada kwa vile amehusisha matatizo binafsi ya vijana kadhaa Wa kibongo na Watanzania wote. Mimi vile vile najua kuna watanzania waliofanikiwa Johannesburg na Capetown ambao wanaendesha biashara za hotel and tours. Kwa hiyo si kweli kwamba hao wanaokaa kwenye fukwe wakisubiri meli basi wawakatishe tamaa watanzania wengine wenye uwezo wa kubuni miradi nje ya nchi. Je huyo mkenya analonganisha vipi maisha ya wabongo hao huko Durban na Capetown dhidi ya maisha ya kifukara wanayoishi wakazi Wa Mathare na Kibera zilizopo kilomita Chache toka kitovu cha Nairobi
 
Back
Top Bottom