nzalendo
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 12,682
- 14,067
Naam hii ni aina ya roho chafu.
Nitajaribu kutoa mifano kidogo
Nitajaribu kutoa mifano kidogo
Mtu anapofanikiwa huchukiwa, onewa wivu, semwa vibaya n.k.
Mtu anapofuliwa jamii husherehekea,hushangilia,habari husambazwa kila kona.
Imefikia pahala hata mtu akiugua watu hufurahi na kutabiri kwamba hawezi pona.
Sasa juzi kuna mtu kafariki akiwa mamtoni..... huku bongo kuna jamaa wanafurahi waziwazi kwamba eti alisha faidi maisha vya kutosha,