Ibilisi
JF-Expert Member
- Jul 12, 2017
- 3,465
- 5,586
Hahahahaha!!!Yanga na shishi beib ndo wa kwanz kupgwa tangia Tz itangazwe kuingia uchumi wa kati
Hahahahaha!!!Yanga na shishi beib ndo wa kwanz kupgwa tangia Tz itangazwe kuingia uchumi wa kati
Mpende adui yako. Utabarikiwa zaidi. Shida ya wa utopolo ni mfomo. Wanabwabwaja hadi kero. Wakijibiwa kwa vitendo matokeo yake ndo hayo. Wanaishiwa nguvu.Nilikodei tax litopolo.any way kuna lenzie lilimkodia bodaboda.