Wabongo na mpira ni kiboko!

Wabongo na mpira ni kiboko!

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
17,561
Reaction score
28,523
Sasa naamini, ukitaka kuwateka Watanzania, basi wekeza katika mpira.
Mi na mpira mbali mbli.

Jana tulikuwa na uchaguzi wa kumpata mgombea wa urais kupitia CCM.
Hata alipoteuliwa Mh JPM nderemo ziliishia ndani ya ukumbi.

Leo Yanga kapigwa goli 4 kwa moja alilomfunga Simba, nderemo ni kila mahali na jirani yangu hajaacha kupiga vuvuzela toka mpira ulipomalizika moja hivi.


Hivi Simba na Yanga wakigombea urais itakuwaje?
Nafikiria tu!
 
Watu wamefunga hadi maduka chali wangu
Bt syo mbaya acha watu wapunguze stress za jiwe
 
Kuna mbuzi leo inaniambia ingependeza wakutane fainali, yn mawazo kama ya huyu mbuzi ndio maana mpira wa bongo hauendelei
 
Sasa naamini, ukitaka kuwateka Watanzania, basi wekeza katika mpira.
Mi na mpira mbali mbli.

Jana tulikuwa na ucha wa kumpata mgombea wa urais kupitia CCM.
Hata alipoteuliwa Mh JPM nderemo ziliishia ndani ya ukumbi

Leo Yanga kapigwa goli 4 kwa moja alilomfunga Simba, nderemo ni kila mahali na jirani yangu hajaaca kupiga vuvuzela toka mpira ulipomalizika moja hivi.


Hivi Simba na Yanga wakigombea urais itakuwaje?
Nafikiria tu!
ni MUNGU katujaalia,amani,undugu,kuvumiliana,na umoja wetu ndivyo vinavyotufanya tufaidi yote hayo,
 
Huko ndio furaha ya Wabongo ilipobakia. Tusiwabane au hata kuwashangaa kwenye hili la kupenda mpira. Tuwaache Watanzania wawe na pakutolea stress
Kweli kabisa ccm wamekuwa hovyo na wasaliti wa watanzania.
 
Back
Top Bottom