Wabongo na Halloween

Wabongo na Halloween

Nchi tajiri wanaweza hata kusema wanachochea chumi zao, watu wanunue madubwana hela iongezeke kwenye mzunguko.

Nchi masikini mna import mpaka maputo na pipi, mtateteaje "extravagance" hii kama anavyoiita Janjaweed?

Bongo maisha yenyewe halloween tosha, halafu mnatafuta halloween bado?
 
Halloween na Krismasi havichekani.

Ukishambulia Halloween nategemea ushambulie na Krismasi pia, kwani vyote tumeiga

La kama huwezi kushambulia Krismasi, halloween ni sikukuu nyingine tu kama Krismasi.

Tena ina afadhali maana haijidai kuwa ni siku ya kuzaliwa mwana wa mungu. Ingawa zote ni ubahau tu.
samahani ndugu, nilikuwa sijui, kumbe wewe ni atheist, kama sivyo basi uelewa wako utakuwa ni mdogo sana, kwa hiyo tatizo lako ww liko hapo, kumbe unapost hapa vitu usivyo na uelewa navyo. Siku zote jitahidi kupost tu yale unayoyajua na kuyaamini, leo nishie hapo hapo
 
Oyoooo Natalia mbona ulipotea au mambo ya kimbunga sandy? Uko sawa lakn, hubby na wakid wako sawa?

Duh mshikaji kilinikumba wacha nichanganyikiwa.our basement is flooded,but everything is ok .kiama kilikaribia .thanks a lot for rembering me
 
Last edited by a moderator:
Wewe unasema Haloween
mimi nilikuwepo Dar wakati hakuna anaeijua Valentine Day ni nini..

sasa siku hizi hiyo siku ikifika na jinsi ubize wa watu unavyoshika kasi
huwa nabaki mdomo wazi still

na bongo si unajua unakuta demu ana jamaa wawili, mwanaume ana mademu watatu hua sielewagi hua wanajigawa vipi siku kama hiyo...nasikia wengine wanaanzaga kusingizia ugonjwa mapema kuogopa kufumaniwa
 
Leo ukiingia social media karibu zoote utaona mara ooh Halloween hiv Halloween vile cjui nini nini, co mbaya lakini Vijana wa cku hzi kuiga sana na being Fake mezidi au ndio tujue DSTv yenu ina Disney Channel huangaliagi Channel 10, Halloween huko bwana mtoni bongo ni cku tu kama cku zingine wewe mwenzangu na mimi kwe2 Kipawa inakuhusuje?

Kwa upande mwingine, maji hufuata mkondo. Mzizi wa fitina ni kutokuwa na chetu.

Hata mzungu akija Maneromango Gombesugu atacheza.

Vivyo hivyo na sie tumewaingilia mitandao yao kwa kufakamia bila ya kutengeneza yetu, sasa tunacheza Gombesugu lao bila kutarajia wala kujijua wengine.

Wangapi wanaokandia halloween kama utamaduni wa kigeni wanaweza kupiga ngoma za asili ?
 
samahani ndugu,

Mie sina undugu na burlesk

nilikuwa sijui, kumbe wewe ni atheist,

Inaonekana kuna mengi zaidi ya hili usoyajua, kama unaweza kuunganisha in a "non sequitur manner uongo wa Krismasi kuwa ni siku ya kuzaliwa mwana wa mungu (uongo ambao waumini wengi wa dini ya kikristo ambao si atheists wanaujua na kuusema kwamba ni uongo) na atheism.

kama sivyo

Shauo zote kumbe hata hujui unachoandika, sivyo.

basi uelewa wako utakuwa ni mdogo sana,

Wako wa kuunganisha vitu kwa non sequitur ndo mkubwa hewalla.

kwa hiyo tatizo lako ww liko hapo, kumbe unapost hapa vitu usivyo na uelewa navyo. Siku zote jitahidi kupost tu yale unayoyajua na kuyaamini, leo nishie hapo hapo

Freakin one dimensional miniature burlesk brewing billowing calcified cacophonies of common calumnies.
 
Ur welcom sasa Natalia naomba ukanipigie kura kule kwenye shindano la miss chit chat mie niko upande wa romney!
Duh mshikaji kilinikumba wacha nichanganyikiwa.our basement is flooded,but everything is ok .kiama kilikaribia .thanks a lot for rembering me
 
Last edited by a moderator:
I had Halloween party on saturday ,50 adults and kids we had a lot of fun.tulivaa consumes .Ni nzuri kwa watoto nilivaa my cat woman costume

Wewe huhesabiki kwenye wabongo, kwa mujibu wako mwenyewe, labda wabongo nusu.

Kwa hivyo una udhuru bila maelezo.
 
...haloween ndo nini? Me mshamba mwenzenu...
Halloween ni sikukuu ya wamarekani tena basi watoto huvaa mavazi ya kitamaduni na kufanya maonyesho mashuleni, tena basi hufanywa na watoto kuanzia Nursery mpaka Grade 4 tu, hiyo huwa asb na pia usiku hupita wanagonga milango majumbani kwa watu na wanapewa candle, hivyo ni kuabudu mizimu ya kimarekani, kwani hutengeneza masanam ya aina mbali mbali na kupamba nje ya nyumba zao
 
Halloween na Krismasi havichekani.

Ukishambulia Halloween nategemea ushambulie na Krismasi pia, kwani vyote tumeiga

La kama huwezi kushambulia Krismasi, halloween ni sikukuu nyingine tu kama Krismasi.

Tena ina afadhali maana haijidai kuwa ni siku ya kuzaliwa mwana wa mungu. Ingawa zote ni ubahau tu.

wewe una mrengo wa ki-Alshabaab so sijadiliani na wew
huwezi kuwa na akili sawa ukukilinganisha halloween na christmas
 
wewe una mrengo wa ki-Alshabaab so sijadiliani na wew
huwezi kuwa na akili sawa ukukilinganisha halloween na christmas

Kuni quote ndo ushajadiliana na mimi hivyo, hueleweki kabla sijaanza kuku challenge!

One dimensional thinking yako itawafanya hata Jehovah Witnesses wawe Al-Shabab.

Sasa Christmas na Halloween tofauti yake nini?
 
Leo ukiingia social media karibu zoote utaona mara ooh Halloween hiv Halloween vile cjui nini nini, co mbaya lakini Vijana wa cku hzi kuiga sana na being Fake mezidi au ndio tujue DSTv yenu ina Disney Channel huangaliagi Channel 10, Halloween huko bwana mtoni bongo ni cku tu kama cku zingine wewe mwenzangu na mimi kwe2 Kipawa inakuhusuje?


Bongo fleva inawaaharibu sana vijana. Yaani wao wanafikiri ukimuona mmarekani mweusi tu kwenye tv lazima ujifananishe naye kwa kila kitu. These people are NOT our relatives at all, na hata wao wenyewe wanachukia sana kufananishwa na waafrika. Kabla ya kurudi Bongo niliishi marekani miaka 6 na yote haya niyasemayo sijasumuliwa bali nimeyaona mwenyewe. Ni haibu sana. Sasa hivi hapa Bongo Clouds media watalazimisha siku kuu ya Thanks Giving ni ya kibongo na kufanya siku kuu ya taifa wakati it has nothing to do with us at all. Kwa nini wabongo wanapenda kuwa wanna bees? Majirani zetu wakitucheka tunaanza kulalamika na kulia.
 
Make it rain.................

scott-disick-patrick-bateman-halloween-1029-2.jpg

Dola 1 1 hata mm naweza

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
wewe una mrengo wa ki-Alshabaab so sijadiliani na wew
huwezi kuwa na akili sawa ukukilinganisha halloween na christmas

huyo amesema ni Christmas ni sikukuu ya kuzaliwa "mwana wa mungu" siyo "mwana
wa Mungu".kuna tofauti ya M"
 
Halloween ni sikukuu ya wamarekani tena basi watoto huvaa mavazi ya kitamaduni na kufanya maonyesho mashuleni, tena basi hufanywa na watoto kuanzia Nursery mpaka Grade 4 tu, hiyo huwa asb na pia usiku hupita wanagonga milango majumbani kwa watu na wanapewa candle, hivyo ni kuabudu mizimu ya kimarekani, kwani hutengeneza masanam ya aina mbali mbali na kupamba nje ya nyumba zao

kwa hiyo ni sherehe za kishetani?
 
quote_icon.png
By pisces

...haloween ndo nini? Me mshamba mwenzenu...


The meaning of Halloween goes back to over 2000 years ago. The original holiday goes back to the Celts. This holiday was called Samhain. It is believed that spirits were, and/or are, allowed to come back to earth to visit.
 
kwa hiyo ni sherehe za kishetani?
C wezi mkusema moja kwa moja ni za kishetani ila Marekani sikukuu hiyo inaambatana na kutengeneza maboga kwa kuyatoboa kwa mfano wa sura ya mtu au mnyama au kitu fulani, na pia watu wengine huutengeneza maonyesho ya mafuvu ya watu na wanyama na watu hupita kuangalia, sasa sijui chambua hapo na mwenzangu, ukifanya hivyo Bongo inakuwaje
 
I live in NY.costume ya Nyerere kibao
aaawwww Natalia mzima ww?? vipi umepona kutoka kimbunga sandy?? pole mamito, nikionaga umecoment mahali naanzaga kusmile kabla lol!
 
Last edited by a moderator:


The meaning of Halloween goes back to over 2000 years ago. The original holiday goes back to the Celts. This holiday was called Samhain. It is believed that spirits were, and/or are, allowed to come back to earth to visit.
[/QUOT

eehh makubwa hayo sasa hiyo si kama zile ibada za mizimu???hapo wanatambika tu hao
 
Back
Top Bottom