Upiversity
JF-Expert Member
- Jun 19, 2015
- 3,488
- 2,622
..."inasemekana"Ni mtu na kaka yake...baba mmoja mama mbalimbali.
inasenekana mzee wao ambaye kwa sasa ni marehemu,alikuwa ni mmoja ya wazee wa mashuhuri wa mujini ktk jiji la dar.
umaarufu wake ukapelekea kuwa na Wanawake wengi aliozaa nao.huko ndio walipatikana mama zao akina wabogojo na huyo shamsa ford.
..ulikuwa bado hujaja mjini na fuso la mananasi nguo kwenye birika!