Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,535
- 52,634
watidhee?Siku mtaosha majini miguu mtuambie pia. Dah! Halaf mkija huku mnajiona wereevu. Ptyuuuu. Acha nijikalie hapa kwetu; Weitaaaa, zungusha chupa mbili mbili za dengelua hapa. Vaathu vekitio; Mauwaa nkibaja mtwii.
watidhee?
Kama analipwa vizuri, sioni shida, sawa na nurse kumuosha mgonjwa hospitali! au wasemaje! Kama umekaa ulaya ndio kazi zetu, nimewahi fanya katika nyumba ya wazee... nikakusanya hela nikaja na uwezo wa kununua gari, nikajenga, etc! way abck in the 90'sSiku mtaosha majini miguu mtuambie pia. Dah! Halaf mkija huku mnajiona wereevu. Ptyuuuu. Acha nijikalie hapa kwetu; Weitaaaa, zungusha chupa mbili mbili za dengelua hapa. Vaathu vekitio; Mauwaa nkibaja mtwii.
Kama analipwa vizuri, sioni shida, sawa na nurse kumuosha mgonjwa hospitali! au wasemaje! Kama umekaa ulaya ndio kazi zetu, nimewahi fanya katika nyumba ya wazee... nikakusanya hela nikaja na uwezo wa kununua gari, nikajenga, etc! way abck in the 90's
Hatari,
Sikuwahi kujua wewe ni mwanamkeSiku mtaosha majini miguu mtuambie pia. Dah! Halaf mkija huku mnajiona wereevu. Ptyuuuu. Acha nijikalie hapa kwetu; Weitaaaa, zungusha chupa mbili mbili za dengelua hapa. Vaathu vekitio; Mauwaa nkibaja mtwii.
Hapana, No never! Labda huko arabuni! Europe mfano Scandinavian countries nitakwenda kufanya kazi hizo! zinalipa kuliko mshahara wa ualimu hapa! na mishahara mingi tu! Afterall nchi hizo si rahisi hata kupata kazi ya kuosha mbwa!!! It seems hujawahi toka Tz, ukajionea!Mkuu;
So it is way back into the 90's? Nilidhani unawaambia vijana hawa wasiotaka kujiajiri kwenye ofisi kuuubwa ya kilimo na ufugaji hapa nyumbani wanataka kwenda majuu.
Kama umeshaingia huko majuu, usichague kazi. Osha hadi mbwa. Lakini nawaonya vijana haswa mabinti mnaodanganywa ati mwende kufanya kazi majumbani sijui Oman, UAR, nk. Kwa nini msijiulize; Huko kwao hakuna wasichana?? Pana kamtego hapo. Waliokwenda wamejikuta kwenye mateso hadi kuupoteza uhai wao.
Ushauri wa bure; Nyumbani ni nyumbani kaa hapa hapa bongo. Akheri kidogo cha amani na ujasiri huku umeketi kuliko kingi cha kula wima na hofu nyingi.
Mkuu sioni haja ya mtu kujifungia sehemu moja wakati popote kuna riziki.Mkuu;
So it is way back into the 90's? Nilidhani unawaambia vijana hawa wasiotaka kujiajiri kwenye ofisi kuuubwa ya kilimo na ufugaji hapa nyumbani wanataka kwenda majuu.
Kama umeshaingia huko majuu, usichague kazi. Osha hadi mbwa. Lakini nawaonya vijana haswa mabinti mnaodanganywa ati mwende kufanya kazi majumbani sijui Oman, UAR, nk. Kwa nini msijiulize; Huko kwao hakuna wasichana?? Pana kamtego hapo. Waliokwenda wamejikuta kwenye mateso hadi kuupoteza uhai wao.
Ushauri wa bure; Nyumbani ni nyumbani kaa hapa hapa bongo. Akheri kidogo cha amani na ujasiri huku umeketi kuliko kingi cha kula wima na hofu nyingi.
Sikuwahi kujua wewe ni mwanamke
Mkuu sioni haja ya mtu kujifungia sehemu moja wakati popote kuna riziki.
Nitakutolea mfano halisi.
Kuna binti anaitwa T alimaliza chuo cheti akahangaika kutafuta ajira akakosa. Akajiajiri kwenye mitumba lakini life likawa bado tight. Mwisho wa siku katika pitapita akasikia kuna michongo Dubai ya kazi za ndani. Akaenda akawa anatuma pesa nyumbani kufanya mambo ya msingi. Leo ana nyumba na frm za kupangisha. Je huyu binti angeendelea kuuza mitumba angejenga lini nyumba? Sina jibu.
Madhara yapo sawa ila mafanikio ni makubwa pia. Bila kujali oman Dubai norway south A.. popote kuna riziki za watu.
Ok, nilikuwa najaribu kukuonyesha ulichoshangaa kwanini wanashindwa kujiajiri na kuamua kutimka...Waende tu mkuu kwani kila mara wanyamwezi wanasema; The grass seems to be greener on the other side. Lakini, nitakomaa hapa hapo mpaka kieleweke. Angali fursa za mikopo, vikundi etc. Kwa nini nitafute vya haraka?
Hapana, No never! Labda huko arabuni! Europe mfano Scandinavian countries nitakwenda kufanya kazi hizo! zinalipa kuliko mshahara wa ualimu hapa! na mishahara mingi tu! Afterall nchi hizo si rahisi hata kupata kazi ya kuosha mbwa!!! It seems hujawahi toka Tz, ukajionea!
Hahaha vaathu va hioSiku mtaosha majini miguu mtuambie pia. Dah! Halaf mkija huku mnajiona wereevu. Ptyuuuu. Acha nijikalie hapa kwetu; Weitaaaa, zungusha chupa mbili mbili za dengelua hapa. Vaathu vekitio; Mauwaa nkibaja mtwii.
Siku mtaosha majini miguu mtuambie pia. Dah! Halaf mkija huku mnajiona wereevu. Ptyuuuu. Acha nijikalie hapa kwetu; Weitaaaa, zungusha chupa mbili mbili za dengelua hapa. Vaathu vekitio; Mauwaa nkibaja mtwii.
watidhee?
Aaah! Hai avae nde huvu du. Vandu veteka he mthii kabisa. Shida ya nini jamani, kuliko kwenda fanya kazi hiyo si afwazali kujikalia hapa nyumbani nilime tangawizi kulee mamba miamba kama shida ni ubaridi??