Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,821
- 59,414
Kina dada tumezidi kulalamika kuhusu kaka/baba/waume/wapenzi wetu....kwanzia majumbani mpaka hapa jamvini!!Ohh mnatusema vibaya...hamtujali...hamtuheshimu and so so.....
Ila tukiacha mabaya tunayoyaona kirahisi kuna mazuri mengi sana mnayotufanyia!!
Tunawashukuru kwa:
...kutupenda sana hata tunapokua hatueleweki!!
...Kutununulia vocha hata kama hatuwapigii!!
...Kutupigia wakati sisi tunabeep tu!!
...Kutusifia hata tusiposhukuru!!
...Kutujali hata tunapozidisha malalamiko!!
...Kutushukuru hata tusipostahili!!
...Kutuamini hata tunapokosa uaminifu!!
...Kutulinda hata tunapogombania usawa!
...Kutubariki na uwepo wenu hata tunapojifanya hatuwahitaji!
...Kutuvumilia hata tunapokua wakorofi!
...Kutuelimisha hata tunapokua wabishi na vichwa ngumu!
...Kutufurahisha hata tunapowaponda!!
...Kutudekeza kama watoto!!
...Kutubembeleza!!
n.k
All in all asanteni sana kwa kua na sisi hapa jamvini pia majumbani!!!Kama ambavyo ingekua ngumu kwa nyie kuishi bila sisi pamoja na kero zetu ndivyo ambavyo hata sisi hatutaki kuishi bila nyie!!!Mbarikiwe ili mzidi kua na sisi!!!
Kwa niaba ya wadada na wamama wenzangu TUNAWAPENDA SANA ila mpunguze muda mnaokaa bar mtugawie na sisi!!!!
We love you....:A S-heart-2:ALWAYS!!!!:busu
Kwa hisani ya KLORO......
Ila tukiacha mabaya tunayoyaona kirahisi kuna mazuri mengi sana mnayotufanyia!!
Tunawashukuru kwa:
...kutupenda sana hata tunapokua hatueleweki!!
...Kutununulia vocha hata kama hatuwapigii!!
...Kutupigia wakati sisi tunabeep tu!!
...Kutusifia hata tusiposhukuru!!
...Kutujali hata tunapozidisha malalamiko!!
...Kutushukuru hata tusipostahili!!
...Kutuamini hata tunapokosa uaminifu!!
...Kutulinda hata tunapogombania usawa!
...Kutubariki na uwepo wenu hata tunapojifanya hatuwahitaji!
...Kutuvumilia hata tunapokua wakorofi!
...Kutuelimisha hata tunapokua wabishi na vichwa ngumu!
...Kutufurahisha hata tunapowaponda!!
...Kutudekeza kama watoto!!
...Kutubembeleza!!
n.k
All in all asanteni sana kwa kua na sisi hapa jamvini pia majumbani!!!Kama ambavyo ingekua ngumu kwa nyie kuishi bila sisi pamoja na kero zetu ndivyo ambavyo hata sisi hatutaki kuishi bila nyie!!!Mbarikiwe ili mzidi kua na sisi!!!
Kwa niaba ya wadada na wamama wenzangu TUNAWAPENDA SANA ila mpunguze muda mnaokaa bar mtugawie na sisi!!!!
We love you....:A S-heart-2:ALWAYS!!!!:busu
Kwa hisani ya KLORO......