hehehe kamanda unataka kudivide and rule nini? eniwei hili sredi jinsi lilivyonikosha staki hata niende ofu topik acha niishie hapa. yaani sredi limenipa mzuka wa kulibembeleza jimama flani (jina kapuni)
Rafiki nikwambie kitu ? your spreading yourself too thin to have an impact, we amua kama ni Hus,Keren au .. halafu jenga kambi hapo,hivi watakuona sharobaro flani lol!