Waterloo
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 25,351
- 38,941
Wazee kumekucha huko Saudia arabia baada ya waasi wa houth kurusha maroketi ambayo yametua katika mji mkuu riyadh na taarifa zinasema kwamba madhara makubwa sana yametokea.
Sasa hii ni vita kamili imetangazwa kati ya saudia arabia na washirika wake wa marekani na israel dhidi ya Iran Tuombe Mungu asaidie hali mbaya inakuja.
Sasa hii ni vita kamili imetangazwa kati ya saudia arabia na washirika wake wa marekani na israel dhidi ya Iran Tuombe Mungu asaidie hali mbaya inakuja.