Waarabu wameenda Ulaya kuharibu mpira, ni waharibifu hawana maana wameanza na manchester city na PSG

Mleta mada unaelekea kuwa mchawi.

Kibaya walichokifanya waarabu ni nini? Ni kipi kikubwa wanachokifanya ambacho Real Madrid, Barca, Man Utd, Chelsea, Liverpool, Arsenal hawafanyi? Wazungu wana wivu sana na waarabu na ndio mana wanateseka nao, Nawewe ndio mmoja wa mawakala wao.
 
Ukimuona mwarabu sehemu tegemea uharubifu,ujinga na uchafu uchafu nwingi

Chukulia mfano Tanzania, waarabu wameiharibu nchi yetu kila kitu wanahonga ,wanatoa rushwa,wananunua upendeleo

Kule ulaya Mwarabu ameshaharibu tayari amekuta utamaduni wa mpira wa ulaya una utamu wake yeye akaenda kwa pupa kuingiza mapesa yake ili ashinde makombe unashinda makombe lkn hushindi mioyo ya mashabiki wanakuona limbukeni lisilo jua kutumia pesa

Haya manchester city unachunguzwa kwa kufanya udanganyifu kwenye matumizi na mapato yake kuwa alidanganya alidanganya alidanganya

Wenzetu weupe wana subra na akili utafajipindua pindua ila utajaa tu kwenye 18 zao

Timu ya manchester city ni timu ndogo isiyotengeneza faida ila matumizi mara mia ya usichoingiza

Sijawahi ona watu wajinga km waarabu umeinunua manchester city,bado unaunda makampuni fake matatu yaidhamini timu ili uonekane timu intengeneza faida kumbe hasara juu ya hasara

Ulaya wasipokuwa makini na waarabu hata mashindano ya uefa yatakosa mvuto kutokana na hii mijamaa kufanya udanganyifu kwenye timu wanazomiliki

Mwathirika mkubwa wa uwekezaji wa mwarabu atakuwa uingereza na ufaransa

Spain Barcelona na madrid wamemwambia Mwarabu asisogeze pua

Ligi ya bundasliga pia haiwataki hawa watu waharibifu wa mpira

Epl isipojisafisha itaenda kufa kifo cha mende

Poor Arab money

Hivi Mkuu nikisema ‘HUNA Akili’ nitakuwa nimekukosea?
 
Ukimuona mwarabu sehemu tegemea uharubifu,ujinga na uchafu uchafu nwingi

Chukulia mfano Tanzania, waarabu wameiharibu nchi yetu kila kitu wanahonga ,wanatoa rushwa,wananunua upendeleo

Kule ulaya Mwarabu ameshaharibu tayari amekuta utamaduni wa mpira wa ulaya una utamu wake yeye akaenda kwa pupa kuingiza mapesa yake ili ashinde makombe unashinda makombe lkn hushindi mioyo ya mashabiki wanakuona limbukeni lisilo jua kutumia pesa

Haya manchester city unachunguzwa kwa kufanya udanganyifu kwenye matumizi na mapato yake kuwa alidanganya alidanganya alidanganya

Wenzetu weupe wana subra na akili utafajipindua pindua ila utajaa tu kwenye 18 zao

Timu ya manchester city ni timu ndogo isiyotengeneza faida ila matumizi mara mia ya usichoingiza

Sijawahi ona watu wajinga km waarabu umeinunua manchester city,bado unaunda makampuni fake matatu yaidhamini timu ili uonekane timu intengeneza faida kumbe hasara juu ya hasara

Ulaya wasipokuwa makini na waarabu hata mashindano ya uefa yatakosa mvuto kutokana na hii mijamaa kufanya udanganyifu kwenye timu wanazomiliki

Mwathirika mkubwa wa uwekezaji wa mwarabu atakuwa uingereza na ufaransa

Spain Barcelona na madrid wamemwambia Mwarabu asisogeze pua

Ligi ya bundasliga pia haiwataki hawa watu waharibifu wa mpira

Epl isipojisafisha itaenda kufa kifo cha mende

Poor Arab money
Seek medical advice
 
Ukimuona mwarabu sehemu tegemea uharubifu,ujinga na uchafu uchafu nwingi

Chukulia mfano Tanzania, waarabu wameiharibu nchi yetu kila kitu wanahonga ,wanatoa rushwa,wananunua upendeleo

Kule ulaya Mwarabu ameshaharibu tayari amekuta utamaduni wa mpira wa ulaya una utamu wake yeye akaenda kwa pupa kuingiza mapesa yake ili ashinde makombe unashinda makombe lkn hushindi mioyo ya mashabiki wanakuona limbukeni lisilo jua kutumia pesa

Haya manchester city unachunguzwa kwa kufanya udanganyifu kwenye matumizi na mapato yake kuwa alidanganya alidanganya alidanganya

Wenzetu weupe wana subra na akili utafajipindua pindua ila utajaa tu kwenye 18 zao

Timu ya manchester city ni timu ndogo isiyotengeneza faida ila matumizi mara mia ya usichoingiza

Sijawahi ona watu wajinga km waarabu umeinunua manchester city,bado unaunda makampuni fake matatu yaidhamini timu ili uonekane timu intengeneza faida kumbe hasara juu ya hasara

Ulaya wasipokuwa makini na waarabu hata mashindano ya uefa yatakosa mvuto kutokana na hii mijamaa kufanya udanganyifu kwenye timu wanazomiliki

Mwathirika mkubwa wa uwekezaji wa mwarabu atakuwa uingereza na ufaransa

Spain Barcelona na madrid wamemwambia Mwarabu asisogeze pua

Ligi ya bundasliga pia haiwataki hawa watu waharibifu wa mpira

Epl isipojisafisha itaenda kufa kifo cha mende

Poor Arab money
Kila siku nasisitiza kuwa huna akili tenga muda wa kujielimisha.Haya Jive nao ni Waarabu na vilabu pekee vinavyomilikiwa na Waarabu ndio wamewahi kukutwaa na makosa hayo ?
 
Ukimuona mwarabu sehemu tegemea uharubifu,ujinga na uchafu uchafu nwingi

Chukulia mfano Tanzania, waarabu wameiharibu nchi yetu kila kitu wanahonga ,wanatoa rushwa,wananunua upendeleo

Kule ulaya Mwarabu ameshaharibu tayari amekuta utamaduni wa mpira wa ulaya una utamu wake yeye akaenda kwa pupa kuingiza mapesa yake ili ashinde makombe unashinda makombe lkn hushindi mioyo ya mashabiki wanakuona limbukeni lisilo jua kutumia pesa

Haya manchester city unachunguzwa kwa kufanya udanganyifu kwenye matumizi na mapato yake kuwa alidanganya alidanganya alidanganya

Wenzetu weupe wana subra na akili utafajipindua pindua ila utajaa tu kwenye 18 zao

Timu ya manchester city ni timu ndogo isiyotengeneza faida ila matumizi mara mia ya usichoingiza

Sijawahi ona watu wajinga km waarabu umeinunua manchester city,bado unaunda makampuni fake matatu yaidhamini timu ili uonekane timu intengeneza faida kumbe hasara juu ya hasara

Ulaya wasipokuwa makini na waarabu hata mashindano ya uefa yatakosa mvuto kutokana na hii mijamaa kufanya udanganyifu kwenye timu wanazomiliki

Mwathirika mkubwa wa uwekezaji wa mwarabu atakuwa uingereza na ufaransa

Spain Barcelona na madrid wamemwambia Mwarabu asisogeze pua

Ligi ya bundasliga pia haiwataki hawa watu waharibifu wa mpira

Epl isipojisafisha itaenda kufa kifo cha mende

Poor Arab money
Mpira wa ulaya ukialibika wewe inakuuma nini? Wewe ni mzaliwa au mkazi wa ulaya? Hapa bongo kuna waalibifu wa mpira pia mbona mnawanyamazia. Mtu anamiliki 49% ya timu wakati thamani ya jumla ya timu haijulikani kama sio utaperi ni nini
 
Mkuu warabu wanahela kuliko mzungu? Una uhakika?

Sina uhakika mkuu nisichume dhambi, ila ukiangalia kwa haraka haraka matajiri wa nchi za kiarabu wana hela, chukilia tu wamiliki wa matimu makubwa ulaya man City, psg, new castle n.k ni waarabu.

Uzuri wa waarabu huwanaga show kama za wengine
 
Ukimuona mwarabu sehemu tegemea uharubifu,ujinga na uchafu uchafu nwingi

Chukulia mfano Tanzania, waarabu wameiharibu nchi yetu kila kitu wanahonga ,wanatoa rushwa,wananunua upendeleo

Kule ulaya Mwarabu ameshaharibu tayari amekuta utamaduni wa mpira wa ulaya una utamu wake yeye akaenda kwa pupa kuingiza mapesa yake ili ashinde makombe unashinda makombe lkn hushindi mioyo ya mashabiki wanakuona limbukeni lisilo jua kutumia pesa

Haya manchester city unachunguzwa kwa kufanya udanganyifu kwenye matumizi na mapato yake kuwa alidanganya alidanganya alidanganya

Wenzetu weupe wana subra na akili utafajipindua pindua ila utajaa tu kwenye 18 zao

Timu ya manchester city ni timu ndogo isiyotengeneza faida ila matumizi mara mia ya usichoingiza

Sijawahi ona watu wajinga km waarabu umeinunua manchester city,bado unaunda makampuni fake matatu yaidhamini timu ili uonekane timu intengeneza faida kumbe hasara juu ya hasara

Ulaya wasipokuwa makini na waarabu hata mashindano ya uefa yatakosa mvuto kutokana na hii mijamaa kufanya udanganyifu kwenye timu wanazomiliki

Mwathirika mkubwa wa uwekezaji wa mwarabu atakuwa uingereza na ufaransa

Spain Barcelona na madrid wamemwambia Mwarabu asisogeze pua

Ligi ya bundasliga pia haiwataki hawa watu waharibifu wa mpira

Epl isipojisafisha itaenda kufa kifo cha mende

Poor Arab money
Para 2 imeharibu uzi, Ulaya na Tanzania wapi na wapi
 
Sina uhakika mkuu nisichume dhambi, ila ukiangalia kwa haraka haraka matajiri wa nchi za kiarabu wana hela, chukilia tu wamiliki wa matimu makubwa ulaya man City, psg, new castle n.k ni waarabu.

Uzuri wa waarabu huwanaga show kama za wengine
Basi nakuambia matajiri kumi Bora duniani hakuna mwarabu hata mmoja. Tofauti ya utajiri wa Arabs na mzungu ni kuwa mwarabu ni mchuuzi huku mzungu akiwa Producer. Kingine kipaumbele Cha mwarabu ni fame na calture huku mzungu akiwa amejiweka Kama mwangalizi na kiongozi wa ulimwengu. Umenisomaaaaaaaa?


Advertisment
expand...

Jamii ya wazungu ndiyo jamii yenye life span kubwa ikiwa pamoja na Japanese ikifatiwa na Chines. Kingine maisha ya ulaya Kila mtu anayatamani tena Kwa hamu hata hapo Saudia wanapaelewa sana unyamwezini mkuu. Mwaka juzi Mke wa mfalme wa Dibai na Binti yake walitimkia London baada ya kudai wananyanyaswa hapo Dibai na mpaka kesho wanakula Bata Ushuwani mkuu. Wewewewe
 
Back
Top Bottom