Hamas ndio kirusi kinachoitafuna Palestina.Ndio maana serikali nyingi za kiarabu zimechoshwa na huu mzozo.ni sababu ya Hamas.Kuna haja gani ya kuichokoza Israel wakati unajua huwezi kulinda raia wako?na wanaujua uwendawazimu wa wayahudi lakini bado wanawachokoza.Jana nilimsikia waziri wa mambo ya nje wa israel akilalamika jinsi pesa za misaada wanazopeleka kuijenga Gaza,zilivyotumika kujengea mahandaki na kununua makombora ya kuwapigia waisrael wenyewe.ndio maana hawataki kufungua njia za uchumi za Gaza chini ya Hamas,itakuwa disaster kwao.akaelezea jinsi jamaa wanavyosafirisha makombora kwa kutumia ambulance na kuzigeuza hospitali kuwa command center.akaeleza jinsi wananchi wa Gaza wanavyotishwa na Hamas kuhama maeneo ambayo israel inatoa matangazo kuwaomba wahame kabla ya kushambulia.wakaonyesha jinsi baadhi ya nyumba zilivyo na mahandaki ya silaha chini na vituo vya kurushia makombora.wakahoji raia wengi wa Gaza wanaonekana kuwa na hofu na kuchukua msimamo wa kati,wengi wakilalamika kupigwa mabomu ilhali hawapendi politics na hawaungi mkono upande wowote.Picha niliyoipata ni kuwa Hamas wanahitaji sana vurugu na ukatili wa waisrael ili kupata support ya wapalestina.ndio maana out of nowhere,utasikia wamerusha roketi tel aviv na kuprovoke vita kama hizi.Hamas anataka kuiprovoke Israel,ipate sifa mbaya,huku akiiua Palestina.blood politics by Hamas.