Mkongwe Mzoefu
JF-Expert Member
- Aug 10, 2018
- 842
- 2,467
Kumbe ndio maana tasnia hii inadharaulika kila mahali, sio hapa DSM, Arusha au Mwanza.
Mnafikia mahali mnatupiwa noti kama mbwa anavyotupiwa makombo na mnagombania kiasi cha kuvunjiana kamera zenu na tape recorders?
Yaani hawa wasanii uchwara ndio wa kuvunja heshima zenu kiwango hicho?
Ndio maana mnaweza kununulika kiasi cha kuandika au kutoandika atakacho mtoa pesa.
Ukienda kama kule Mwanza unakuta waandishi wamebakia kupigana majungu kiasi hata wenyewe hawaelewani kisa kugombea mshiko.
Jibadilisheni muheshimiwe!
Mnafikia mahali mnatupiwa noti kama mbwa anavyotupiwa makombo na mnagombania kiasi cha kuvunjiana kamera zenu na tape recorders?
Yaani hawa wasanii uchwara ndio wa kuvunja heshima zenu kiwango hicho?
Ndio maana mnaweza kununulika kiasi cha kuandika au kutoandika atakacho mtoa pesa.
Ukienda kama kule Mwanza unakuta waandishi wamebakia kupigana majungu kiasi hata wenyewe hawaelewani kisa kugombea mshiko.
Jibadilisheni muheshimiwe!