Waandaji wa Maandamano ya Gen Z wanagawana Fito?

Waandaji wa Maandamano ya Gen Z wanagawana Fito?

Troll JF

Platinum Member
Joined
Feb 6, 2015
Posts
9,279
Reaction score
13,708
Nimesikiliza mijadala ya Waandaji wa maandamanonya Gen Z katika Tiktok na X wanagombana sana wanalaumiana kwa kuleta ujuaji na Usaliti ndiyo maana maandamano leo yamedoda kuna master Plan wamekasirika wamewaachia vilaza ambao wameendesha maandamano yao katika mitandao ya kijamii katika no platform kama JF, X Tiktok na Insta

Awali iliielezwa kuwa vyombo vya ulinzi na usalama vimetanda kila kona lakini imekuja kujulikana kuna misunderstanding kati ya waaandaji wakituhumiana kudhulumiana migao ya Fedha kutoka kwa mabeberu waliofadhili jambo hilo.
 
Nimesikiliza mijadala ya Waandaji wa maandamanonya Gen Z katika Tiktok na X wanagombana sana wanalaumiana kwa kuleta ujuaji na Usaliti ndiyo maana maandamano leo yamedoda kuna master Plan wamekasirika wamewaachia vilaza ambao wameendesha maandamano yao katika mitandao ya kijamii katika no platform kama JF, X Tiktok na Insta

Awali iliielezwa kuwa vyombo vya ulinzi na usalama vimetanda kila kona lakini imekuja kujulikana kuna misunderstanding kati ya waaandaji wakituhumiana kudhulumiana migao ya Fedha kutoka kwa mabeberu waliofadhili jambo hilo.
🚮
Chai
 
Nimesikiliza mijadala ya Waandaji wa maandamanonya Gen Z katika Tiktok na X wanagombana sana wanalaumiana kwa kuleta ujuaji na Usaliti ndiyo maana maandamano leo yamedoda kuna master Plan wamekasirika wamewaachia vilaza ambao wameendesha maandamano yao katika mitandao ya kijamii katika no platform kama JF, X Tiktok na Insta

Awali iliielezwa kuwa vyombo vya ulinzi na usalama vimetanda kila kona lakini imekuja kujulikana kuna misunderstanding kati ya waaandaji wakituhumiana kudhulumiana migao ya Fedha kutoka kwa mabeberu waliofadhili jambo hilo.
Vijana wameshawashitukia hao wanakula kwa mgongo wa vijana. Cha kushangaza pesa nyingi zimeliwa na Wakenya eti ili wa push kwenye mitandao watu kama wakina Lord Denning na Mbaga Jr wanakula vumbi tu
 
Back
Top Bottom