Nilufer
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 9,760
- 14,005
Baba V naomba utoe kalipio kali juu ya hawa watu. pacha wangu anataka kunipinduaNilikutumia salam, sema tulikuwa bize na marekebisho ya sistimu ya mfumo wa mtandao kwenye netweki... Kifupi ni kuwa alisema anakusudia kufunga ndoa rasmi na DEMBA wiki hii. Ameomba upunguze kum bip bip, Pm na mizinga ya hapa na pale kama ulivyozoea. Ni hayo tu......
Last edited by a moderator: