miss strong
JF-Expert Member
- Jul 4, 2012
- 7,011
- 3,708
Nilikutumia salam, sema tulikuwa bize na marekebisho ya sistimu ya mfumo wa mtandao kwenye netweki... Kifupi ni kuwa alisema anakusudia kufunga ndoa rasmi na DEMBA wiki hii. Ameomba upunguze kum bip bip, Pm na mizinga ya hapa na pale kama ulivyozoea. Ni hayo tu......
DEMBA ni pacha wangu kwahiyo kaz ndogo ndogo huwa namsaidia endapo amesafir au amechoka......kikosi cha mizinga kipo pale pale!!!!
Last edited by a moderator: