Waallahh Sirudii tena

Waallahh Sirudii tena

ndetia

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2012
Posts
615
Reaction score
669
poleni na kazi!!! wife kasafiri yupo nje ya nchi kimasoma kama mwezi wa kumi huu....mzee mzima nimekabwa na maugwadu.....kuna demu wangu mmoja nilikuwa napozeapozea nae kasafiri yupo mkoa, sasa katika pitapita yangu kwenye mindao ya kijamii nikakutana na mtoto mmoja anasoma Udom....mtoto mzuri anajua kudeka ana call kila night tunapigastory...anamaneno ya kimahaba si mchezo nikaona hapa kijana nimeopoa....tukatumia skyp mtoto nikamuona live...alivyomzuri, akaniambie beib nataka nije dar tugegedane..... nikasema haina shida nauli shil ngap...akasema 18000/= nikamwambia poa ntakupa 40000 na emegency.......akasema ntakuja jmos then ntaondoka j3 asubh maana sina vipindi....nilivyotuma tu ile hela ndio ukawa mwisho wa mawasiliano.....nikajiona mburulaaa.....naapa sirudiii....naona niwaambie yasijeyakawakuta......
 
duh...atakutafuta tena huyo..fanya kama vile hujaumia..endelea kulonga nae.. Siku akijichanganya tu kuja.. Njo hapa tukushauri umfanye nini.
 
Duh, kuna wanaume wanapata shida jamani kha... #umbulula++

Heri ubaki bikra kama mimi...
 
poleni na kazi!!! wife kasafiri yupo nje ya nchi kimasoma kama mwezi wa kumi huu....mzee mzima nimekabwa na maugwadu.....kuna demu wangu mmoja nilikuwa napozeapozea nae kasafiri yupo mkoa, sasa katika pitapita yangu kwenye mindao ya kijamii nikakutana na mtoto mmoja anasoma Udom....mtoto mzuri anajua kudeka ana call kila night tunapigastory...anamaneno ya kimahaba si mchezo nikaona hapa kijana nimeopoa....tukatumia skyp mtoto nikamuona live...alivyomzuri, akaniambie beib nataka nije dar tugegedane..... nikasema haina shida nauli shil ngap...akasema 18000/= nikamwambia poa ntakupa 40000 na emegency.......akasema ntakuja jmos then ntaondoka j3 asubh maana sina vipindi....nilivyotuma tu ile hela ndio ukawa mwisho wa mawasiliano.....nikajiona mburulaaa.....naapa sirudiii....naona niwaambie yasijeyakawakuta......

Huko UDOM anasomea nini? kama ni undergraduate si chuo kimefungwa??
 
hao dawa yao naijua wala usijali,. Ni PM skype user name yake nitakuonyesha,.
 

Ndivyo ulivyofundishwa kuwa wasichana tu ndo wanaitwa bikra!??

Ndo naipata kwako!!!
Nijuavyo mm bikra akifanya mapenzi kwa mara ya kwanza lazima some liquid nyekundu zimwagike au kuna maana nyingine!!!
 
Dawa yao ndogo sana hao hebu npm nikupe njia ya kumfanya kitu awaogope wanaume wote kula vyao....... Ila na ww n Ngumbalu kwel mkuu hv umekulia dunia gan mpaka unaingzwa kirahsi hvyo?
 
Duh, kuna wanaume wanapata shida jamani kha... #umbulula++

Heri ubaki bikra kama mimi...

Siku ukitaka kuitoa hiyo bikra lazma zikutoke...
Ukipata asiyependa kuhongwa kaoge maji ya bahari hindi..
 
Siku ukitaka kuitoa hiyo bikra lazma zikutoke...
Ukipata asiyependa kuhongwa kaoge maji ya bahari hindi..

Wewe mpwa unantafuta niropoke...!!!!

Ila siongei ng'ooo...
 
poleni na kazi!!! wife kasafiri yupo nje ya nchi kimasoma kama mwezi wa kumi huu....mzee mzima nimekabwa na maugwadu.....kuna demu wangu mmoja nilikuwa napozeapozea nae kasafiri yupo mkoa, sasa katika pitapita yangu kwenye mindao ya kijamii nikakutana na mtoto mmoja anasoma Udom....mtoto mzuri anajua kudeka ana call kila night tunapigastory...anamaneno ya kimahaba si mchezo nikaona hapa kijana nimeopoa....tukatumia skyp mtoto nikamuona live...alivyomzuri, akaniambie beib nataka nije dar tugegedane..... nikasema haina shida nauli shil ngap...akasema 18000/= nikamwambia poa ntakupa 40000 na emegency.......akasema ntakuja jmos then ntaondoka j3 asubh maana sina vipindi....nilivyotuma tu ile hela ndio ukawa mwisho wa mawasiliano.....nikajiona mburulaaa.....naapa sirudiii....naona niwaambie yasijeyakawakuta......


Inaonekana una siku chache sana hapa mjini.
Halafu nina wasiwasi na shule yako.

Pia hayo mambo ni yakizamani mno na yanafanywa na watu wa mikoani!!! Siyo hapa jijini.
 
Back
Top Bottom